Huna akili wewe Chizi Maarifa 😀😀😀Yule muongo muongo ninyi mnampa sifa mpaka anaanza kiburi. Hii sasa ndo story ya kiume. Siyo ya kutiana na misukule hovyo kabisa ile.
Antonnia njoo usome story ya ukweli huku.
Nafahamu kuhusu ngozi wengine wanatumia kuwekea kwenye vitanda inakua km godoro,wengine wanatengeneza vitu vya asili nakuuza Kigali mjini au hata Goma mana kuna airport kule wageni wengi. ..Ila pembe ckumbuki kuziona mtaaniVp pembe zao nazo zinauzwa au akisha chinjwa zinatupwa dampo? Pia naomba kufahamishwa utofauti wa pembe za hao ng'ombe na zile za ndovu na faru
kula chuma hicho mpenzi msomaji
Tatizo na nyie waleta story huwaga mko na maringo Sana, unaanza kuhadithia vizuri na ukishaona Kuna muitikio mkubwa wa wadau basi visingizio vinakuwa vingi Mara majukumu na blablaa kibao zisizo na maana yoyote...Kuna watu mnatukana bila sababu. Sio lazima usome. Kazi sio kuandika tu tunamajukumu mengine. So tuwe na staha kidogo wengine Sio wavumilivu wa kutukanwa bila aababu
Kwa wenye kutaka story hii kamili jiungeni na a/c yake ya telegram mpate uhondo kamili,utalipia buku tu kwa mwezi.Kuna watu mnatukana bila sababu. Sio lazima usome. Kazi sio kuandika tu tunamajukumu mengine. So tuwe na staha kidogo wengine Sio wavumilivu wa kutukanwa bila aababu
Jf itabidi itoe mwongozo juu ya hawa waleta stori ili pale watakapo tenda kinyume adhabu iwe juu yao.[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa wenye kutaka story hii kamili jiungeni na a/c yake ya telegram mpate uhondo kamili,utalipia buku tu kwa mwezi.
😄😄 Dawa Ni wakianza kutoa story yao,Modes hawaiachi hewani mpk pale inapokua imekamilika.Jf itabidi itoe mwongozo juu ya hawa waleta stori ili pale watakapo tenda kinyume adhabu iwe juu yao.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahio tum-bembeleze sio?Mkitumia nguvu jamaa hatamaliza story
Hawa majamaa wakiachwa waendelee na hizi tabia zao watasababisha kudhalaulika ama kupuuzwa kwa stori za watu wengine wasio na tabia Kama zao...[emoji1][emoji1] Dawa Ni wakianza kutoa story yao,Modes hawaiachi hewani mpk pale inapokua imekamilika.
Afe tuu. Kwani bila story yake tutakufa? Afe tu bana.Mleta stori amekufa, M23 wamempiga risasi 7 yani pwa pwa pwaaaa
Utawasikia "sogelea telegram"Kwa wenye kutaka story hii kamili jiungeni na a/c yake ya telegram mpate uhondo kamili,utalipia buku tu kwa mwezi.
Done that?Been there