Safari za Maulid Kitenge mara kwa mara kulikoni?

Maulid Kitenge, Edo Kumwembe na Ephraim Kibonde wana mkataba na Milt choice kupitia super sport kutangaza mechi za ligi kuu ya England kwa kiswahili kila weekend ambayo kuna mchezo. Huwa wanasafiri ijumaa kwenye SA na kurudi TZ jumatatu
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Wanaume kama mabinti,muuliza swali unatuangusha bana, swali gani hilo?
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Wewe unakerekwa nini
 
Angekuwa anasafiri kuelekea Kolomije kila wiki wala usingetia neno.

Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
We huoni kitumbo kimejaa ngada!
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Warumi bwana hahaaa uvumilivu umekushinda una ka new id now atakua analipwa na office kukusanya habari za michezo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
anauza sembe.. mbona mnazunguka
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Au kisa baba Jesca hasafiri?
 
Munaulizia ujinga ujinga tu. Kitenge kaenda casablanka ambako Serengeti boys imepata match ya kirafiki na Gabon
 
Alafu mmoja wa wake zake anafanya kazi kwenye shirika moja kubwa la kimataifa hivyo inawezekana akawa anamtembelea mkewe sababu kuna wakati huyo mkewe alikuwa anaishi nje ya nchi..sina uhakika Kama mpaka sasa yupo huko.
Kingine kwa mtoa mada ni kwamba kwa career yake sioni cha kuuliza labda Kama we ni mshamba wa kupanda ndege..Mbona Shafii Dauda, Edo Kumwembe nk. Wanachana sana mawingu na huulizi?
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Na wewe panda daladala kwenda na kurudi mbagala mpaka uchoke.
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
 
Saafi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…