Safari za Maulid Kitenge mara kwa mara kulikoni?

Kitenge na Eddo Kumwembe wamepata ulaji Supersport kwenda tangaza mpira wa epl kwa njia ya kiswahili
 
Badala mtu aangalie na yeye anafanyeje kazi kuanza kuchunguza safari za mtu mwingine. How is thios of public interest? Kitenge si mwajiriwa wa serikali mpaka utake kujua anasafiri kwenda wapi? Mbona mnakuwa na mawazo ya ujima hivyoo?
 
Ah jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal Mayala
 
Aaah ahsante, team ya warumi haijawahi disappoint, gawa dozi binamu
Warumi kumbe una ka-ID kageni [emoji8] [emoji8] [emoji8] love mingi kwako mama[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…