Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Tujue alitumia shilingi ngapi za walipa kodi wa tz pia tungemlinganisha na maraisi waliopita ili tujue nani alisafiri sana?
 
Tujue alitumia shilingi ngapi za walipa kodi wa tz pia tungemlinganisha na maraisi waliopita ili tujue nani alisafiri sana?
<br />
<br />
Hayo yote tutayajua na kila kitu kitakuwa wazi! Hii ndiyo jf mkombozi wa taifa hili mfu!!
 
Jamani msimlaumu sana Mr. Presidar, mmesahau kuwa ni ******!!! Asili ya ****** ngoma, ipigwe kisiju yupo, bagamoyo yupo, rufiji yupo kisarawe kaenda, kwa ufupi asili yao kila baada ya mavuno ni ngoma na utalii. Kwa kuwa yeye kila siku ni mavuno lazima kila siku itakuwa ni safari tu.
big up!
wajameni naomba kuuliza..na kama invisible unanisoma ..tujibu sote hapa jamvini!! kwanini mna censor neno kama m.k.w.e.re? kwani m.k.w.e.r.e siyo kabila ? mbona mtu anaweza kusema msukuma, mchaga. mkala, mnyamwezi n.k ! kulikoni m.k.w.e.r.e? kwani ni tusi?? mi naona kama ni udikteta kuzuia watu kusema baadhi ya makabila!
 
Na First lady juzi tu alikuwa Comoro hebu ziunganisheni safari zao then tuone yupi ni msafiri zaidi...tehtehteh

Nakumbuka na ile aliyokwenda kuchungulia vimwana wa BOTSWANA wakati Mswati anachangua mwaka juzi akiwa na ndege ya kifisadi ya Mkapa ambayo JK amaikumbatia bilka kujali ugumu wa maisha ya MTZ. Inauma sana
 
big up!
wajameni naomba kuuliza..na kama invisible unanisoma ..tujibu sote hapa jamvini!! kwanini mna censor neno kama m.k.w.e.re? kwani m.k.w.e.r.e siyo kabila ? mbona mtu anaweza kusema msukuma, mchaga. mkala, mnyamwezi n.k ! kulikoni m.k.w.e.r.e? kwani ni tusi?? mi naona kama ni udikteta kuzuia watu kusema baadhi ya makabila!

Nimependa posit hii. Safi sana. JK si mkuu wa kabila la wak.were na wala hilo naamini halimpi wasiwasi endapo ataita hivyo. Nadhani waTZ waliowengi wanapenda kuramba miguu ya viongozi na kujifanya wao ni interpreter wa viongozi wao. Ni ujinga wala si upumbavu!
 
Hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-

kaka milioni 15 ni ndogo sana inaweza ikawa zaidi ya hapo maana kama ni ndege kwa first class tiketi moja tu inaweza ikawa zaidi ya USD 5000
 
315! Huyu jamaa anatisha aisee. Je watanzania tunafaidika nini na safari zake?
 
Kuna safari moja miaka kadhaa..(somewhere in 2007 au 2008) kama sikosei...alipewa mwaliko kwenda Boston Mass, kuzungumzia jinsi waTanzania wanavyoishi kwa amani..pamoja na kuwa na dini mbili kubwa (Waislamu na Wakristu)...Lakini ungeuona huo msafara aliofuatana nao......
 
Tujue alitumia shilingi ngapi za walipa kodi wa tz pia tungemlinganisha na maraisi waliopita ili tujue nani alisafiri sana?
<br />
<br />
Kwa kifupi tu safari moja si chini ya 700 million hii hujumuisha nauli na posho ya delegation nzima inayoenda na rais pamoja na wale wanaotangulia kuandaa safari kwa sababu za kiusalama. watu wanakuwa wengi maana hata wapishi nao nao wanakuwepo. Halafu kwa kumbukumbu za kawaida tu kati ya marais watatu Mwinyi, Mkapa na JK, JK hana mpinzani kwa idadi ya safari. Sijui kuhusu Nyerere.
 
Tuache kua na wivu huku bongo matatizo kibau mara umeme hakuna, maji matatizo ,ufisadi paka kwa jeneral shimbo ,sasa afanyeje zaid kwenda kudiskava?aliaza na bembea kule dubai sasa itabidi aende china kushangaa madaraja wakati wa kampeni Igunga .
 
Hivi huyu jamaa tutamkumbuka kwa lipi? kwa upande wangu tumkumke kwa safari na roho ya huruma kwa Mafisadi , na kutuachia nchi yetu na limbi la umasikini na giza nene.
Nguvu zaid ,Ari zaid,Kasi zaid=zaid ya nusu karne ya umasikini zaid
 
Hivi huyu jamaa tutamkumbuka kwa lipi? kwa upande wangu tumkumke kwa safari na roho ya huruma kwa Mafisadi , na kutuachia nchi yetu na limbi la umasikini na giza nene.<br />
Nguvu zaid ,Ari zaid,Kasi zaid=zaid ya nusu karne ya umasikini zaid
<br />
<br />
Kuwa na tread kama hii yenye kuwa na takwimu na mwisho wa urais wake kutoa cheti ni kumbukumbu muhimu na ya kipekee kwa rais wetu kichwa pasi!
Hii ndiyo kumbukumbu muhimu!!
 
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!&lt;br /&gt;<br />
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!<br />
<br />
Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005!<br />
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma!!!
kwa hesabu za haraka haraka ukisema kila safari haikuchukua chini ya siku 3 katumia miaka zaidi ya miwili akiwa nje ya nchi,theluthi moja ya Urais wake.
 
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!&lt;br /&gt;<br />
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!<br />
<br />
Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005!<br />
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma!!!
anawatafutia wafadhili jamni na wawekezaji mnatakiwa kuwa na shukraani nyie watanzania,,,
 
Back
Top Bottom