Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Tunaomba mtuwekee na siku alizokaa uko nje ya nchi!
<br />Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi!<br />
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005!&lt;br /&gt;<br /><br />
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma!!!<br />
<br />
UDATEs!
Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi!<br />
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!
Mmh! We mchokozi. Mie simo.
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005!&lt;br /&gt;<br /><br />
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma!!!<br />
<br />
UDATEs!
Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi!<br />
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!
Ni muhimu kwa Rais kufanya safari nyingi kwa kipindi hiki alichokuwepo madarakani ili kuiunganisha Tanzania na mataifa. Taifa limegundua kwamba Katka East Africa na Afrika kwa ujumla Tanzania ni miongoni mwa nchi za mwisho kwa kutofahamika kimataifa. Kwa mfano Tanzania ni miongoni mwa nchi kubwa (Eneo, idadi ya watu, maliasili n.k) lakini huwezi kuamini kuwa utafiti ulipofanyika katika nchi za Ufaransa, Uingereza, Ujerumani, Marekani, Saudi Arabia, India, China na New Zealand, Tanzania ilishika mkia kwa wananchi wa nchi hizo kuifahamu (miongoni mwa Kenya, Uganda, Somali, Burundi, Rwanda, Zambia, Msumbiji, Sudan, Ethiopia, Eritrea, na djibout.) ispokuwa huko China na India ambako ilishika nafasi ya Tatu.
Uhusiano wa kimataifa ni muhimu sana katika kukuza uchumi wa nchi hasa katika kipindi hiki cha utandawazi. Uchumi na Siasa ni vitu vinavyoenda pamoja na nyakati za Ujamaa tulielekeza macho yetu sana katika nchi za Kikomunist kama Rusia , Korea ya Kaskazini, kuba na China. Leo nchi hizo zote zenyewe zipo katika hali ngumu na kimsingi hatufaidiki sana na nchi hizo pengine China tu. Na si vizuri katika kipindi hiki kwa nchi moja kuwa na monopoli katika nchi nyingine, kwa sababu nchi zinozopenda kufanya biashara nasi lazima ziwe katika ushindani. Na mtazamo wa Tanzania kwa muda huu ni kuzichanganya kati ya nchi zilizoendelea na nchi na zile za kati kama Turky, Iran, Brazil, Mexico, Venuzuela, korea ya kusini, uhispania, Poland. Uzuri wa nchi hizi za kati ni kwamba, ziko tayari zaidi kuuza Teknlojia yaondogo waliyokuwa nayo kuliko nchi zilizoendelea. Leo hii Turky, Korea kaskazini, Brazil na Iran ndio wauzaji wakubwa wa Teknolojia ya kati kuliko nchi zilizoendelea. Na demand yake katika nchi za Afrika ni kubwa sana, na ni lazima kuifuata huko huko iliko.
Tatizo la Thread hii haijazingatia ni nini kinachopatikana katika safari za Rais bali imezingatia Idadi ya safari alizozifanya kwa kipindi alichokuwepo madarakani. Hili ni Tatizo la kutokuona mbali, na ni moja kati ya tatizo kubwa la Wana JF. Hii inanikumbusha filamu ya Senior Bachelor pale mke wa Erick alipomlaumu kwa kutokaa nyumbani. Erick alimuomba achague moja kati ya mawili, Au yeye akae siku nzima nyumbani na waishi katika umasikini ule wa zamani au amruhusu akachachalike huko nje na kurudi nyumbani na chochote. Mke wake hakuwa mjinga, alikaa kimya ndipo Erick alipopata jibu kuwa umasikini hautaki, na akaendelea kuchachalika nje. Na wanaJF wanamawili ya kuchagua kati ya... na ....
Populist Thread hazitatusaidia hapa JF wala kwa maendeleo ya nchi yetu. Kwa sababu watanzania wengi hapa JF WAMELALAMIKA KUWA TANZANIA HAIFAHAMIKI HUKO NJE. Leo juhudi mbali mbali zinafanyika ikiwa pamoja na kuisuka timu yetu ya Taifa ya mpira wa miguu, Kukuza Viwango vya Filamu zetu, leo zinaangaliwa na nchi nyingi Afrika n.k. Zote hizi ni katika juhudi za za kuipandisha chati Tanzania.
Kwa machache haya na kwa tathmini ya yale tuliyoyapata kwa safari za Rais, ninaziunga mkono safari zake zote na rais ajaye mwaka 2015 aendeleze uhusiano na nchi hizo na ikibidi naye asafiri.
Kujulikana kwa nchi hakufanywi kwa Rais kusafiri sana bali ni kazi ya balozi zetu zilizoko nchi za nje; hata hivyo hoja yako haina nguvu kwasababu Mkweree yeye anapenda safari za Kwenda United States na Europe kwa sana tu[ ingefaa iorozeshwe ili tujue toka aingie marakani amekwenda mara ngapi marekani na Ulaya] hivyo hoja sio kuitangaza nchi bali ni kustarehe yaani usharobaro!! Kwavile safari zenyewe hazina tija nchi itafaidika zaidi kama huyu Mkweree asingekuwa anasafiri, kwani zile fedha lukuki anazozitumia na wapambe wake zingetumika kwa mambo mengine ya msingi huko nyumbani kama vile kuwanunulia madawati wanafunzi badala ya kungoja mpaka Mwanaidi Sinare Maajar aanzishe foundation ya kuwanunulia madawati watoto!!