Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

@ ZAWADI NGODA ,Na ndiyo maana hili eneo limekuwepo kufumbuwa watu macho ambao hawaoni kama wewe,Hemu niambie tangu 2005 mpaka sasa niambie mafanikio ambayo yapo unayaona zaidi ya kujulikana kama waombaji wakubwa wa misaada na wakati tumekalia utajiri ambao unaliwa kijanja janja na wenye uwezo. Halafu watu wanapo ongelea safari wanalinganisha gharama na hali halisi ya mazingira ya nchi kiuchumi .. Wake up tutakwisha


Mimi nilitarajia nyie mlioanzisha hii THREAD mtafakari faida na hasara za safari za Rais nje ya nchi, leo unanipa kazi hiyo mimi! Unajua, unapoandika thread ni lazima uwe na target (goal), na ndio maana nilipojibu nilijaribu kuwafumbua macho na kuweka target ya thread. Hii ilibidi iwekwe wazi na muanzilishi wa thread, ili thread yake ieleweke.

Kama lengo lilikuwa ni kuhesabu namba za safari (quantity) alizofanya Rais, naweza kusema kuwa thread haijafanikiwa. Lakini kama lengo lilikuwa kutathimini ubora (quality) au mafanikio ya safari hizo, thread ingekuwa na maana zaidi na yenye TIJA kwa watanzania. Leo Thread imekaa kisiasa zaidi kuliko kimaendeleo.
 
C kuwa ni suala la kcasa ila ni dvpt kwan amin kuwa any dvpt ipo knye casa! 2na ulazma wa kjua rais ana qontty ya rut ngap then ndo 2jue wht waz their qolity!
 
C kuwa ni suala la kcasa ila ni dvpt kwan amin kuwa any dvpt ipo knye casa! 2na ulazma wa kjua rais ana qontty ya rut ngap then ndo 2jue wht waz their qolity!

Kama nyie mpo wengi, sishangaqi Tanzania kuwa nyuma kiasi hiki.

Ama kweli leo nimeamini kuwa katka Afrika, Tanzania ina vyama vya upinzani dhaifu zaidi. Ngoja CCM iendelee japo kwa miaka 20 ijayo. Hata mseto Bara hautufai.
 
@Zawadi Ngoda. Dhamira ya thread hii ipo ktk nyanja nyingi,na nyanja zote watz tunahitaji na nihaki yetu kujua juu ya mwenendo wa taasisi yetu ya magogoni! Ni haki yetu kujua afya ya rais wetu,familia yake,kipato chake, hulka yake,safari zake,wasifu wake,mtazamo wake juu ya taifa na kimataifa,nk
Ni mapema mno kuikosoa thread hii kwani mkosoaji wa haki husimama baada ya utimilizo! Tuna miaka minne mbele yetu kabla hatuja mtunuku rais wetu kipenzi tunzo ya kutambua maajabu yake kidunia, hivyo kila kitu kitachambuliwa juu ya safari zake kama zilikuwa na mafaa kwa taifa,hasara kwa taifa au zilimnufaisha yeye na taasisi yake au yeye tu!
Hivyo nakusihi ondoa shaka, na kwa kukuarifu tu ni kuwa mchakato wa usanifu wa cheti utaletwa hapa muda ukifika!
 
huu ni upuuzi mkubwa kwa jinsi anavyotumia kodi za wavuja jasho, mbali na yeye mwenyewe JK hatuna budi kuindoa CCM kwani wooote wale wale tu, wana JF embu mwenye picha ya jamaa aliyopiga na 50% embu iwekeni hewani wachache wetu wameiona, ni aibu kubwa kuona mtu kama rais unafunga safari unakwenda kupiga picha na mpiga muziki haipo duniani hiyo ila inapatikana Tanzania tu kwa huyu bwana,mbabaishaji ile mbaya
 
@Zawadi Ngoda. Dhamira ya thread hii ipo ktk nyanja nyingi,na nyanja zote watz tunahitaji na nihaki yetu kujua juu ya mwenendo wa taasisi yetu ya magogoni! Ni haki yetu kujua afya ya rais wetu,familia yake,kipato chake, hulka yake,safari zake,wasifu wake,mtazamo wake juu ya taifa na kimataifa,nk
Ni mapema mno kuikosoa thread hii kwani mkosoaji wa haki husimama baada ya utimilizo! Tuna miaka minne mbele yetu kabla hatuja mtunuku rais wetu kipenzi tunzo ya kutambua maajabu yake kidunia, hivyo kila kitu kitachambuliwa juu ya safari zake kama zilikuwa na mafaa kwa taifa,hasara kwa taifa au zilimnufaisha yeye na taasisi yake au yeye tu!
Hivyo nakusihi ondoa shaka, na kwa kukuarifu tu ni kuwa mchakato wa usanifu wa cheti utaletwa hapa muda ukifika!


Hapo umenena, hongera kwa taarifa nzuri. Sasa sitaendelea kuchangia hii thread ninasubiri ahadi yako itapokamilika.
 
Duh yuko juu, lakini si anatumia kabajaji kake, JET,
Is very comfortable, asingependa ashuke chini, ingewezekana ni angani mda wote!!!!!
Kodi zetu awekea JET mafuta
 
kaka kama safari zimefikia 315 basi atatimiza mwaka 1 ya kuwa nje ya nchi hii kitu ambacho ni hatari sana..
 
kaka kama safari zimefikia 315 basi atatimiza mwaka 1 ya kuwa nje ya nchi hii kitu ambacho ni hatari sana..

...Kwamba itafika kipindi JK atakua katumia siku 365 nje ya nchi? Mwaka mzima akiwa anahudhuria mikutano na shopping za suti? Haki ya nani. Sisi waajiri wake tutakuwa tuna shida vichwani mwetu!
 
Hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-

Milion 15 mzee!!!! Hyo hela c huwa anaandaliwa anavoenda kutembelea Mhimbili!!! Ni hela ndefu sana anatumia huyu bwana, pia huwa haendi pekeyake anakuwa na timu ya wwatu macheckbob wenzie...!!! Taifa linaangamia kwa kukosa Viongozi ambao hawajui nn wanakifanya,!!! Kwan huyu mwenzie Ceremonial leader Pinda yeye anabaniwa kutoka nje??? Sababu cjawahi kusikia, yeye nackiaga yupoMusoma Lindi, Rikwa ndo viwanja vyake, na kwann huyu checkbob huwa hatumi wawakilishi wake??
 
Siamini kama huyu jamaa alikuja omba kula ili asafirisafiri namna hii!! Nchi hataijenga saa ngapi?
 
ama kweli raisi wetu ana kiherehere cha safari, sijui 2015 inafikaje?
 
kaka kama safari zimefikia 315 basi atatimiza mwaka 1 ya kuwa nje ya nchi hii kitu ambacho ni hatari sana..

Umekosea kidogo mahesabu.

Hizi ni SAFARI 315, siyo siku 315 alizokuwa safari. Safari zenyewe tu ni 315 toka 2006.......sasa zimefikia 317.

Kama kila wastani wa safari moja ni siku 3 (siku 1 kwenda, siku 1 shughuli, siku 1 kurudi), hizo safari 317 ni sawa na siku 951. Ukumbuke hapa unaangalia tu wastani wa siku 3 kwa safari moja.

Kwa hiyo, kuanzia 2006 kwa SAFARI 317 kila moja wastani wa siku 3, kwa uchache kabisa JK amekuwa nje ya nchi kwa siku 951 ambayo ni sawa na miaka 2 na siku 221. Karibu nusu ya miaka 6 ya awamu yake hadi sasa.
 
Back
Top Bottom