i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 293
Australia kubwa lazima akajipoteze kuanzia sydney, melbon ndo amalizie perth bwana labda ataonana na wabeba box hukoYaani mkutano unaanza Ijumaa mwisho wa wiki yeye ameondoka tangu Jumatatu mwanzo mwa wiki..haya ni maajabu ya dunia!!