Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Kazi kweli kweli.
Hivi nyinyi hamjui kuwa dokta????? jk ana hobi ya kusafiri?
 
Just imagine! yeye yuko bize kuomba misaada kwa wazungu wanaosumbuka kufufua chumi zao.
hivi kweli wazungu waache kusaidia ugiriki italia na spain waje kuchangia bajeti za bongo, these watawala hawako serious kabisa.

kazi kutembea kama ................!! kwa mtindo huu tutakataa kweli ushoga? may be
 
Wakuu hapa naomba kujua, hizo 313 ni idadi ya safari ama idadi ya siku ambazo amekuwa nje ya nchi?

Kama ni idadi ya safari basi anafaa kuingizwa kwenye Guiness Book of Records na tutumie hilo kama kigezo mojawapo cha kuvutia watalii e.g 'Welcome to Tanzania the land of Kilimanjaro and home to the most traveling President'

Nimeipenda kuliko zote
 
Kwa maana hii ndugu yetu kipenzi Mheshimiwa Dr. Vasco da Gama ametumia alumost two yiaz nje ya nchi! Zis is wandaful eksipiriensi, hata wanaoenda Dubai kuchukua bidhaa hawajalala hotelini kwa kiwango chako.

Kwa mnaojiandaa kubisha 315deiz taims ati-list tuu deiz ambazo atakuwa huko (na mara nyingine zaidi). Tuendelee kumpa sapoti ili aingie kwenye kitabu cha Guinness Books of World Beer.., I mean records.
 
...kweli 'safari moja huanzisha nyingine'

Apewe na phD ya kusafiri zaidi.

Na shirika ndege analotumia waanze kumpa ofa ya safari za bure angalau.

Akubali Udaudi maana kila wakati anashinda kwao....
 
Safari za nje ya nchi 318 wastani wa siku 3 kila safari, jumla ya siku akiiwa nje ya nchi ni siku 954 sawa na miaka 2.6. Ukiweka siku za safari za ndani, na zile anazotumia kwenye vikao na kupokea wageni, ana muda gani wa kutulia na kupitia majalada au kufuatilia mambo muhimu ya nchi hii? Inasemekana hutumia masaa mengi pia kwenye simu na facebook! We got a great president.............note the p!
 
Ina maana muheshimiwa katika kipindi cha miaka mitano katumia Mwaka mmoja kukaa kwenye nchi mbali mbali!!(316days almost a year)
 
Mwache atembee kwani akikaa hapa anafanya nini!
Tujilaumu wenyewe kumpa mtu kazi ambayo hana uwezo nayo. Tujifunze kutofanya kosa hilo mbele ya safari.
Tangu lini mtoto mdogo akavuta mkokoteni uliojaa mzigo
 
sawa ila kwli nchi inaliwa kinoma ndugu zangu, poleni sana watanzania.
 
tumepata mafanikio makubwa sana kwa safari za rais. alikuwa rais wa kwanza afrika kuonana na presida Obama, pengine alituongezea umaarufu duniani
 
Fantastic observation, he is the champion of globalisation of international relations.
 
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005

UPDATES

Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma


UPDATES

Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!

UPDATES:

Safari ya 317 kwa rais wangu kipenzi!
ameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa
hasara.mia

UPDATES
Safari ya 318 ya rais mwenye maajabu duniani!
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...

Leo anaenda australia?
 
Hiyo ni style yake ya kuchuma pesa, aki2mia style ya Mr clean si atash2kiwa. Ufisadi huo
 
Nashukuru angalau rais wetu anajua kusalimia mtu.Thatz our proud
 
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005

UPDATES

Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma


UPDATES

Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!

UPDATES:

Safari ya 317 kwa rais wangu kipenzi!
ameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa
hasara.mia

UPDATES
Safari ya 318 ya rais mwenye maajabu duniani!
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...
Unapoamua 'kupika' kutusongea ugali, inabidi utupipikie na mboga zake. Usitulishe ugali mkavu eeenh? Tuwekee hapa safari zake zote sio idadi tu. Tuambie alienda wapi? Na kina nani? Alionana na nani? Waliongea nini? Alilala wapi? Alikula nini na nani? .................nk.
 
...kazi ya huyu jamaa ni kutaliitalii tu. Aibu kwa Tanzania kuwa na Raisi wa mtindo wa huyu ******!!
 
Back
Top Bottom