Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Rais omba omba, anaenda kuomba vyandarua vya kubadilishana na Tanzanite., Jamaa bonge la Marketer.
 
Kama ni hivyo tanzania imekaa mwaka mmoja bila ya kuwa na raisi
 
kweli baba riz noma dah jamaa kweli anapaaa!duh kazi ipo cjui mafail ya ofisini huwa anasain nani maana akirudi utamsikia kaenda kwenye ufunguzi wa barabara singida nk
 
UPDATES
Safari ya 318 ya rais mwenye maajabu duniani!
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...

Hivi ni safari za ndani na nje au ni nje tu??
 
hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-
wha

you know what we keep on complaining but scared to face the reality. These people think the money is theres to spend na kwa sababu atusemi ndio maana. Our children are studying on the floor writing on stones and our wives, mothers are sleeping 4 on a thinny bed. Just imagine. Hawa watu ni kuwa eliminate kabisa from the face of the earth. Guess what another laughing stock --- mke wa jk on advet ya kilimanjaro on tbc. What a shame. Mie nauliza haasa hiyo tbc awana watu / watoto kufanya advert mpaka salma kikwete ? Na yeye amekaa kama cartoon flani hivi. Jamani mshamba ni mshamba tuu hata ukimpeleka town. Some of us are sick of tbc hata news zao to make it worse ubaguzi ya usomaji ;ya gazeti pia.
Shame onto you tbc. Angalieni wenzenu citizen ya kenya na kbc news zao so that mache uchafu yenu
 
IT IS HARD FOR THEM TO UNDERSTAND THE PHYLOSOPHIES OF THIS KIND CAUSE THE FREE Ph.Ds etc DOES NOT QUALIFY THEM TO UNDERSTAND SOME OF THE STATISTICAL LANGUAGES. CHEERS
 
unajua huyo bwana mdogo riz1 ---- anaenda kweli kwa speed sana ni mjinga sana aulize watoto wa gadaffi wako wapi.... Pesa za wananchi sio zake.... Yeye atanue tuu lakini ......freedom is coming very soon and he will have to face the music sijui atenda wapi na kua mgeni wa nani ??? Maybe mgeni wa watoto wa mafisadi wenzake. Wakaa wakifikiria hilo
 
hivi amesharudi? maana alijiwahia karibu wiki nzima kabla ya mkutano kuanza..
 
Unawezaje kusafiri kwenda nchi nyingine bila kualikwa!!!, nyie mmeshindwa kusafiri kwa sababu hamjaalikwa na siku mkialikwa mtasafiri sana tu. Toeni sababu za msingi za kumlaumu huyu mkuu kusafiri.
 
Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005

UPDATES

Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma


UPDATES

Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!

UPDATES:

Safari ya 317 kwa rais wangu kipenzi!
ameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa
hasara.mia

UPDATES
Safari ya 318 ya rais mwenye maajabu duniani!
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...

Mi ningemuona wa maana zaidi endepo tu angetujengea hata viwanja 3 au 4 vya ndege kama vya wenzetu maana sisi tuna mifano ya viwanja vya ndege...
 
Hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-
Acha utoto weweeee!! mimi ni mtumishi wa Umma, kwa mtumishi wa serikali hata kwa ngazi ya kawaida anatumia mtu mmoja zaidi ya hiyo pesa given anaenda nje ya nchi. Hivi unajua Rais anapoenda nje ya nchi Serikali inalazimika kusafirisha zaidi ya watu 100 kwenda nchi husika wakiwemo watu wa usalama wa Taifa waandishi wa habari, wapiga picha(Kama Issa Michuzi), masekeretali(PS) wa watu anaoongozana nao nakadhalika, tena kuna tetesi kwamba watu wa usalama ndo wanakuwa wengi na wanatangulia kwa mda mrefu kidogo ili kuhakikisha usalama wa rais maana akiuawa Watanzania watalia sana kupoteza kipenzi chao
 
Jumla ya safari ni 318, kuna mtu anaweza kutuweka wazi jumla ya siku rais wetu kipenzi amekua nje ya nchi? Mathalani kama safari moja ni siku 4x318=1272, 1272÷365= 3.48~ 3.5!! Hii inamaanisha kwa miaka 6 ya kutawala kwake, miaka 3 1/2 amekuwa nje ya nchi, na miaka 2 1/2 ndiyo aliyoitumia ndani ya nchi...
 
Jumla ya safari ni 318, kuna mtu anaweza kutuweka wazi jumla ya siku rais wetu kipenzi amekua nje ya nchi? Mathalani kama safari moja ni siku 4x318=1272, 1272÷365= 3.48~ 3.5!! Hii inamaanisha kwa miaka 6 ya kutawala kwake, miaka 3 1/2 amekuwa nje ya nchi, na miaka 2 1/2 ndiyo aliyoitumia ndani ya nchi...
Jamani eeeh,mie siamini,Rais wa TZ au wa nchi nyingine?
 
Unawezaje kusafiri kwenda nchi nyingine bila kualikwa!!!, nyie mmeshindwa kusafiri kwa sababu hamjaalikwa na siku mkialikwa mtasafiri sana tu. Toeni sababu za msingi za kumlaumu huyu mkuu kusafiri.
Maana ya thread hii hailaumu kusafiri kwa rais wetu, bali uwingi wa safari na matokeo ya safari hizo, huku wimbi la ugumu wa maisha liki wakabili wananchi! Usisahau kauli zake za kejeri!
 
ni hasara kubwa safari za rais kwa miaka sita gharama zake ya weza kuwa hata bajeti ya miaka miwili. Nivema raisi awe mzalendo aangalie gharama ya kusafiri mara kwa mara kama ina tija. Kwani safari muhimu 10 kwa mwaka zinaweza iletea tija taifa iliyobaki wengine watakuja wenyewe kwani tuna rasilimali za kutosha kuvutia wawekezaji mbona hatu sikii sana emilio mwai kibaki. Tunasikia zaidi museven ziara zake. Rais punguza ziara zisizo na tija.
 
unajua huyo bwana mdogo riz1 ---- anaenda kweli kwa speed sana ni mjinga sana aulize watoto wa gadaffi wako wapi.... Pesa za wananchi sio zake.... Yeye atanue tuu lakini ......freedom is coming very soon and he will have to face the music sijui atenda wapi na kua mgeni wa nani ??? Maybe mgeni wa watoto wa mafisadi wenzake. Wakaa wakifikiria hilo
..........teh teh teh , nani! Riz, ataenda sauz wee hujui eeh
 
Back
Top Bottom