Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

hahahaha mie napita, wachina, wajapan, wakorea wote wako na sura moja, ndo funzo la kuongozwa na dafu
 
Kwa bahati mbaya huwa hawasemi kwa maneno kuwa wamekuchoka, lakini vitendo vyao ni dhahiri shairi, kuna safari nyingine kama rais unatuma mwakilishi hiyo inapunguza gharama kwa serilikali
 
Amezidi mno kuzurula wacha kuna siku atapokewa na mateja. Rais gani kila siku kiguu na njia? Nchi mbali mbali zimemchoka sana. Akae atatue matatizo nchini mwake.
 
Siku nyingine ataituma jeshi lake la wakina miraji kutangulia kumpokea. Rais wetu anatuaibisha sana
 
I don't condone safari nyingi za Rais Kikwete, but bashing him has become a norm of town.

This is democracy at the highest level!!.

Ama kweli, Ukimwamsha aliyelala..........
 
Ukiongeza ili alokwenda china kimya kimya kumfuata mwanae inafika 346
 
Hivi hiyo ndege hufanyiwa saa ngapi service?
 
Badala uwahudumie wazazi wako angalau upate heri duniani unakazana kufuatilia safari za rais kweli kunawatu wamekufa bado kuoza tu.
 
Mandamano yameshindwa kuzaa matunda na nchi inaendelea kutawalika mtaumwa sana kwa huu upekepeke jk anasonga tu,inawachoma eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Rais Kikwete atua uingereza.
ni ziara ya 351
 
Back
Top Bottom