Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Kama kila safari alikuwa anakaa kwa siku 5 kima cha chini fanya 313. mara 5 = ? Hatari
 
ama kweli huyu ndiye Vasco da Gama wa karne ya 21. hivi safari zote hizi zina manufaa gani kwa watanzania maskini tunaoshindia mihogo?
 
Aliyesemwa na jpm kuwa anasafiri nje mara nyingi kuzid safar za kwenda kumsalimia mamake kijijini ni jk au!
 
Hivi kuna mtu anajua kwa nini magufuli hakutaja gharama za safari za rais nje ya nchi??

Kuanzia walinzi, wapambe wapishi na Umauti wa ma cronies wake (mkuu wa mko a etc kumsindikiza airport na gharama zao ) to see him off na gharama za allowance za pilot wake, ndege yenyewe na mafuta, gharama za huko alikoenda ambako hukaaa si chini ya siku 10, na akirudi gharama za cronies wake kwenda kumpokea, productivity kusimama kwa sababu ya kuzuiliwa traffic ili mfalme Jakaya apite etc

Mimi estimate yangu ni bilioni 2 per day.

Nyinyi je??
 
To know is better than not to know (knowledge is better than ignorance).

sasa si mkawaulize wahasibu wa ikulu:msituchoshe bana,leteni habari za namna ya kutafuta hela,kuliko kupoteza mda kwa mambo yasiyo na maana
 
Hivi kuna mtu anajua kwa nini magufuli hakutaja gharama za safari za rais nje ya nchi??

Kuanzia walinzi, wapambe wapishi na Umauti wa ma cronies wake (mkuu wa mko a etc kumsindikiza airport na gharama zao ) to see him off na gharama za allowance za pilot wake, ndege yenyewe na mafuta, gharama za huko alikoenda ambako hukaaa si chini ya siku 10, na akirudi gharama za cronies wake kwenda kumpokea, productivity kusimama kwa sababu ya kuzuiliwa traffic ili mfalme Jakaya apite etc

Mimi estimate yangu ni bilioni 2 per day.

Nyinyi je??


Umenichekesha sana hapo kwenye bil2. Mkwere balaa
 
sasa si mkawaulize wahasibu wa ikulu:msituchoshe bana,leteni habari za namna ya kutafuta hela,kuliko kupoteza mda kwa mambo yasiyo na maana

Kutafuta hela mbayo ikipigwa kodi mkwere alitumia kutalii ulimwengu ......

Ndo tunatathmin kodi kiasi gan alilamba mkwere?
 
Hivi kuna mtu anajua kwa nini magufuli hakutaja gharama za safari za rais nje ya nchi??

Kuanzia walinzi, wapambe wapishi na Umauti wa ma cronies wake (mkuu wa mko a etc kumsindikiza airport na gharama zao ) to see him off na gharama za allowance za pilot wake, ndege yenyewe na mafuta, gharama za huko alikoenda ambako hukaaa si chini ya siku 10, na akirudi gharama za cronies wake kwenda kumpokea, productivity kusimama kwa sababu ya kuzuiliwa traffic ili mfalme Jakaya apite etc

Mimi estimate yangu ni bilioni 2 per day.

Nyinyi je??

Hizo sasa hasira za mkizi. Kanywe maji ya moto halafu uoge ya baridi utarelax. Hata marekani hawatumii bil 2 per day
 
Mfano mzuri tu. Tangu Magufuli azikate hizo safari; Vyuo vikuu wamepata mikopo yao yoote, Muhumbili hakuna tena mgonjwa anayelala chini, na mengine mengi. Ila, alinifurahisha sana; Kuwakumbuka rafiki zake woote. Aliwapa hata angalao ka-U-DC, hapo ndo alinifurahisha tu
 
Back
Top Bottom