Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Hilo ni chaguo lako kama jina lako lilivyo. Chukua family yako mkamng'oe magogoni...sisi kwetu huo ni uhaini. Kwani katika aina nne za utawala yeye hayumo ktk kundi la utawala wa kiimla..aliingia kidemokrasia ukimpa kura za 81%. 2005 na 61% 2010.
 
son o.a mbona unahasira sana? jamaa wa mgogoni akingoka na wewe ndo kwishney au? pole mkuu ila wa2 hawamtaki tena mana siku izi hana usemi hata zile hotuba za mwisho wa mwez kazifuta
 
Ukisema wewe umenena wakisema wenzio wanakunya..juha kweli wewe...ni lazima umshambulie mwenzako kiasi hicho? Kwani ulitaka nani awe Rais...Baba yako au wewe? Nenda kamng'oe basi ikulu..wewe si bingwa? Changia tu usitukane
 
hehe hed unalipwa kumtetea? au akisafiri anakuachia chumba chake ulale weye? nikulize swal la kizush, we mke wake wa ngap vile? mana unaeza jiita son kumbe ni jimama la haja. sija2kana hapo. nijib plz
 
Usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa wewe. Unataka ww ndo uwe Mheshimiwa? Huyo unayemshabikia atakupiga bomba...
 
hehe hed unalipwa kumtetea? au akisafiri anakuachia chumba chake ulale weye? nikulize swal la kizush, we mke wake wa ngap vile? mana unaeza jiita son kumbe ni jimama la haja. sija2kana hapo. nijib plz
<br />
<br />
Muache aendelee kujiliza akihitaji cheti nae tutampa siku hiyohiyo ya kumpa mumewe!!
 
son o.a pole mnange, naona umefura kisa wanamshambulia, afu mbona unatoa methal ambazo haziendan? au umejiskia kuandika. nahisi amekuahid kukuletea chocolate za airpot.. tehe tehee jitaid. ngoja nijiandae niende church kumuombea mzee wa magogon labda atabadilika mana its never too late
 
Yaani ungejua wala usingenipa hadhi ya Magogoni kamanda wangu..wala hanijui...ninalochukia ni kufanya issue kinyume cha sheria...uhaini n.k Mbowe na Slaa ni waungwana wanatumia vikao halali kukosoa serikali bila matusi na wanapokosea wanatiwa hatiani. Kwani JK alimfumbia macho nani waziri mwenye uozo? Remember Lowassa is out bze of. ...Kwani angekomaa nini kingeendelea? Remember Rostam..Mramba...Yona..Mahalu...EPA...Chenge...nk..kumbe mmezoea kuburuzwa...mtakuja lia mkikumbuka...Utajanisimulia...Ona Kagame..Museveni...Mugabe...Gaddafi..Castro...
 
Siku mkiingia Ikulu nyie wavuta bangi ujue mwisho wa dunia ndo siku hiyohiyo. Ikulu inaweza kabidhiwa dogs you think. Simtetei JK natetea hadhi ya Tanzania and its legitimacy. Mihimili yake mitatu ni madhubuti..JK siyo nchi wala Slaa si nchi..wote hao watapita nchi itabaki palepale. Katafuteni mashamba msata mlime kwani lazima mng'ang'anie mjini ***** ninyi
 
hahaha yani kweli inaonyesha ni kiasi anapenda safari then hizo pesa anazotumia kusafiri si angenunulia mitambo au angeongezea barabara zijengwe ili watu waondokane na adha ya Foleni. Yani kwa karne hii Tanzania bado maji ni mgao na kuna watu wanakunywa maji ya mferejini wakati Rais anaenda kutalii na kuomba misaada eti Tanzania hatuna uwezo na ni maskini.
 
Kama ni kweli basi kikwete ni janga la kitaifa. Bado sijaamini kama akikaa nje siku 3 * 313 = 939. Kwa kweli hii ni janga la kitaifa.
 
Kuna kipindi rais wa nchi moja, nafikiri Malawi aliahirisha safari ya kwenda nje kutokana na upungufu wa fedha za kigeni. Hivi wa kwetu huwa analijali hilo. Saa hizi thamani ya pesa yetu haishuki ila inaporomoka, yeye yupo na safari zake tu. Kaaazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom