Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

8E9U3711.jpg


This is pilot jakaya kikwete we are now approaching to land dar es salaam...please tight your seat belt...we are 20000 ft above sea level.....iam glad to say that we had a lot of fun abroad from uk to botswana....
 
8E9U3711.jpg


This is pilot jakaya kikwete we are now approaching to land dar es salaam...please tight your seat belt...we are 20000 ft above sea level.....iam glad to say that we had a lot of fun abroad from uk to botswana....
kama ulikuwepo vile?
 
8E9U3711.jpg


This is pilot jakaya kikwete we are now approaching to land dar es salaam...please tight your seat belt...we are 20000 ft above sea level.....iam glad to say that we had a lot of fun abroad from uk to botswana....

So Vasco Da Gama pori ndio amerudi? sasa tusubirie kauli za kipumbavu na kejeli kutoka kwa m k w e reeeeeee pori. Bora angekaaa huko huko hatumtaki na tushamchoka aende zake
 
Ndiyo maana hawezi kukubali km tz ni masikini kwa sababu atajiuliza vp na kujibu hilo swali ikiwa yeye angali anaogelea ktk lundo la posho za safari kila uchao?..rais wa kuvuna alichokipanda kifisadi pale 2005 -kikwete.........tz na watz hawatakuja kukusahau kuwa walikuwa na rais legheleghe kwenye mambo ya kitaifa lkn aliyejali zaidi maslahi yake kupitia posho za safari za nje kila ilipoitwa leo..........
 
Jana nimekuwa natafakari safari za kiongozi wetu wa nchi zilivyo nyingi. Kwa mtazamo wangu nadhani JK atakuwa amesafiri mara nyingi kuliko mkuu yoyote wa nchi duniani awaye madarakani. Nimejiuliza maswali mengi kama kweli waziri wa Fedha angekuwa makini JK angeweza kusafiri safari nyingi hivi? Ingawa waziri sio mtendaji wa wizara husika lakini kuna maamuzi mengine waziri lazima aingilie kati.

Nionavyo Waziri wa Fedha hayuko makini kusimamia vizuri matumizi ya Fedha za serikali. Najiaminisha kuwa kama kungekuwa na Waziri wa Fedha makini na aliyechaguliwa kwa merit yake mwenyewe angekuwa strict na kama ingebidi angekubali lawama ya kunyima watu safari kuliko fedheha.

Wana JF hili mnalionaje?
 
Jana nimekuwa natafakari safari za kiongozi wetu wa nchi zilivyo nyingi. Kwa mtazamo wangu nadhani JK atakuwa amesafiri mara nyingi kuliko mkuu yoyote wa nchi duniani awaye madarakani. Nimejiuliza maswali mengi kama kweli waziri wa Fedha angekuwa makini JK angeweza kusafiri safari nyingi hivi? Ingawa waziri sio mtendaji wa wizara husika lakini kuna maamuzi mengine waziri lazima aingilie kati.

Nionavyo Waziri wa Fedha hayuko makini kusimamia vizuri matumizi ya Fedha za serikali. Najiaminisha kuwa kama kungekuwa na Waziri wa Fedha makini na aliyechaguliwa kwa merit yake mwenyewe angekuwa strict na kama ingebidi angekubali lawama ya kunyima watu safari kuliko fedheha.

Wana JF hili mnalionaje?
kweli haujui nana alaumiwe?
 
maswali gani sasa haya?
:rant:

Swali ninalouliza ni kuwa kama Waziri wa Fedha angekuwa strict kuna uwezekano wa safari kupungua? au hakuna mtu mwenye uwezo huo. Nimeliwaza nikataka msaada
 
kweli haujui nana alaumiwe?

Labda neno lawama sio zuri, point yangu ni kuwa Waziri wa Fedha ambaye wizara yake ndiyo custodian ya pesa za serikali naye kweli hana sauti kwenye hili la safari za Mkuu?
 
Wakulaumiwa juu ya safar za JAKAYA MRISHO NGASA ni VICK SHIKA(wanawake na maendeleo).
 
Wakuu mi naomba nijulishwe hivi hii nchi ina dira (Vision) toka enzi za Nyerere? Maana itakuwa haina mana kumlaumu JK kwa nchi ambayo haijui ielekeako.
 
Wakuu mi naomba nijulishwe hivi hii nchi ina dira (Vision) toka enzi za Nyerere? Maana itakuwa haina mana kumlaumu JK kwa nchi ambayo haijui ielekeako.

haina dira,dira ya nch n katba inayojtosheleza.ss katba ye2 haijitoshelez,mf rais hapaswi kutengeneza wizara lakn kw2 anatengenea(kuanzisha).Katba inatakiwa imwelekeze kila k2 kinachohusu wa2 weng.
Dira ye2 inatoka bagamoyo(chalinze) kuelekea marekani kwa misaada na wala haina pande 4.
 
We all say many words towards JK,if we sum up all the words..We are now going through a tough 10 years period,which really to me its like 10 years without the president.Furthermore we dont have a strong Prime Minister at least to act on President's failures and support him at large. Its shame to see there are ****** who comment here to support this stupidity..Many of the trips he took,fit well for his Ministers,he just seem to like travelling "VASCO DA GAMA"
 
Inamaa jk hizi safari zake zinaweza kumzidi hata Fides castro aliyekaa miaka mingi sana madarakani ama Museveni anaekaribia miaka 30 madarakani?
 
Namfuata nimwambie kwenye Facebook yake....lakini hatanielewa, nampigia simu Afisa habari na mawasiliano ikulu sasa hivi...aah kumbe ni mbwa ya mkubwa hawezi hata kumwambia mkubwa nilichosema.....au nikutane naye hukohuko Brazil...nasikia anao mabaunsa hawataniruhusu kumsogelea...ngoja nitafute namna nitarudi
 
Kwa nini asiende huko sumatra abebwe na tsunami atupunguzie gunia la misumari.Mie naanza mawasiliano na watayarishaji wa kitabu cha Guiness and who is who aingie kwenye championship.Inaonyesha kuwa tangu aingie madarakani zaidi ya mwaka mmoja siku 365 yupo nje ya nchi.DAWA NI KATIBA TUTA PRUNI KILA KITU TU.Safari hazina tija wala nini.zinaongeza matumizi ya dolla tu nchini wakati nchi ipo hoi bin taabani.Kwanini asiwasilishwe na mabalozi waliopo huko.Mbaya zaidi akikifika Brazili atakuwa ameambatana na mabalozi wa US.Inauma kwa sisi watanzania halisi.
 
Back
Top Bottom