Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jiachie na hii!Mkuu, tunaweza pata picha ya boy 2 men tena? Mi nimewahi kuiona mwaka 2006 hivi kwenye gazeti moja la udaku
Hatopita wiki moja toka sasa utasikia anakwenda Libya kwenye kikao cha usuluhishi
Juzi nasikia amepata walimu wa kimarekani 47 kwa hiyo yanwekwa kwenye mafanikio ya raisi wetu....kwa kweli anajitahidi maana wazungu 47 kufundisha shule za kata siyo mchezo kwanza tutawafundisha kiswahili maana wanafunzi wetu hawajui hata kuandika halafu wataanza nao taratibu tutafanikiwa tu...CCM hoyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii![]()
![]()
na haya ndo mafanikio ya safari hizo![]()
hahahaha watanzania tufunguke kijua chenyewe kidogo tusipowai kuanika tutatwanga mbichi!!!!! bt..... kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho........napita 2....
yaani huyu rahisi wetu anatia kichefuchefu wallah! ni virus mbaya sana aliingia kututafuna 2005! MUNGU atuongoze tuchague kwa busara 2015!Juzi nasikia amepata walimu wa kimarekani 47 kwa hiyo yanwekwa kwenye mafanikio ya raisi wetu....kwa kweli anajitahidi maana wazungu 47 kufundisha shule za kata siyo mchezo kwanza tutawafundisha kiswahili maana wanafunzi wetu hawajui hata kuandika halafu wataanza nao taratibu tutafanikiwa tu...CCM hoyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
atakutana na mama banda, wataongelea nini sijui
anga litam-miss jk, kuanzia 2016! pathetic!