Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Hivi hizi safari zinajunuhisha alizokwenda nje ya nchi kimya kimya mfano China ...kama wajina wako alivyotutaarifu ?
 
Mbona alisema anataka aweke unbreakable record ya 500 trips...and still counting...!!
 
Hili suala ni serious sana kwa nchi ambayo ni maskini kama Tanzania. Ili kuthibiti hali hii ya Rais kusafiri ovyo ni vizuri ikawekwa kwenye katiba mpya ili kuondokana na 'hobby' za ajabu kama hii. Ijulikane kabisa kuwa rais kwa mwaka anapaswa kusafiri mara ngapi na safari hizo ziwe ni za kikazi tu maana kuna ziara zingine za JK ambazo sio za kikazi lakini tunadanganywa kuwa ni za kikazi. Kama zote zingekuwa za kikazi basi zingekuwa na tija kwa taifa. Ikibidi naye akaguliwe uwanjani anaposafiri si ajabu safari hizo nyingi zina maslahi kwake sio bure....
 
mi nilifikiri akifikisha siku 354 kutakuwa na ka -sherehe fulani ka ku-maliza mwaka 1 Jason bourne
 
Last edited by a moderator:
Akae ikulu muanze kumuuliza ahadi na utekelezaji...anatoka kiaina ili mafaili yabaki ''unattended''
 
Duuh Huyu Kilaza Ni Mwisho Jamani...anataka Amzidi Hadi Marco Pollo?
 
ila ukifuata huu mtririko wa safari.jk anasafiri kuliko mfanyabiashara .
dah kama ni prezdaa tulichagua watz
 
Back
Top Bottom