Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Duh!!!!! Kwel haya mauzauza had afikishe safari 10000 ndo ataacha...kwel Dr
 
Habari za mchana Jason Bourne??? Nimefurahishwa na hotuba ya Mheshiwa Rais Kikwete huko Davos kwenye mkutano wa World Economic Forum, (January 2013) niliyoikuta kwenye mtandao wa Youtube. Hivi hii safari ya Mheshiwa Rais kwenda huko DAVOS (January 2013) ni ya ngapi?


<strong>


 
Last edited by a moderator:
Tunajua raisi wetu amesafiri nchi nyingi duniani kama kuna MTU ana idadi ya nchi alizosafiri atupie hapa...
 
Nadhani nchi ambazo hajafika ni kama tano tu, Mongolia na Central Africa Republic. Lakini nao wasife moyo naamini atawafikia maana muda bado upo Inshallah!
 
Ndugu wanajamvi ni imani yangu kwamba mu wazima wa afya!

Kama kinavyojieleza kichwa cha habari hapo juu naomba mwenye hiyo link anisaidie.
Nimejaribu kusachi lakini sijafanikiwa.
Nina imani kuna baadhi ya wajumbe wanayo kumbukumbu ya huu mjadala tayari ulikuwepo hapa jukwaani.

Naomba kuwasilisha!
 
Mimi ningehoji hivi sababu za hizo safari, kisha malengo na kuna faida gani kwa watanzania kulingana na idadi hizo za safari au ni hasara tu! Unatakiwa kuhoji 'kisomi', uwe analystic, uwe Objective. Ili hata yeye akiona anaupata ukweli mchungu kalendi
 
Last edited by a moderator:
Hupaswi kujua kwa sababu wewe si Rais wako. Usubiri Rais wa UKAWA ndipo ufanye kazi ya kuhesabu safari zake


Nashukuru kiongozi kwa kunifahamisha hilo la kuwa huyu rais aliyepo sio rais wangu.

Labda naomba ufafanuzi toka kwako je? Mimi si mtanzania?
Nilivyokuwa badhani kwamba huyu ni rais wa watanzania.
 
Nashukuru kiongozi kwa kunifahamisha hilo la kuwa huyu rais aliyepo sio rais wangu.

Labda naomba ufafanuzi toka kwako je? Mimi si mtanzania?
Nilivyokuwa badhani kwamba huyu ni rais wa watanzania.
Huyu ni Rais wa Watanzania si Rais wa UKAWA. UKAWA hawatambui Tanzania. Wao wanatambua Tanganyika. So long JK ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wewe na UKAWA wenzako si Rais wenu. msubiri huyo Rais wa Tanganyika ndo umuulize maswali mengi ikiwa ni pamoja na kumhesabia safari zake
 
Nashukuru sana kwa mjumbe mzalendo, mpenda amani na mtanzania halisi aliyeniunganisha na uzi huu ili nipate kuunganisha mambo mengi yanayonishangaza.

Asante sana mkuu wewe uliyeniunganisha umedhihilisha kwamba watanzania wazalendo bado tunao isipokuwa bado muda kitambo kidogo tu MUNGU atawainua
 
Kufa kufaana na siajabu wasaidizi wake watakuwa wanafaidi per DM sana tu, na penginepo wakilaani utawala wa Marais waliopita kuwabania mafungu ya safari kwa kutosafiri mara kwa mara.... Hii ndiyo dunia bhana....
 
kwa takwimu hizi ana wastani wa safari moja nje ya nchi kila wiki, bila kuzingatia safari hiyo inachukua siku ngapi. kwa namna yoyote ile... this is too much! tija iko wapi? lini anatulia ikulu kuaddress serious issues facing this poor country?
 
Back
Top Bottom