nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,250
..ninawashangaa sana sana wale wanaodai eti watanzania hatuitaji kujua hizi safari za rais??....why?...watanzania ambao ndio tunalipia safari hizi (kwa kodi zetu)tunahitaji sana sana kujua kila safari anayofanya rais.....haswa pale safari hizi zinapofanywa kila kukicha.....Mnafikiri mnapolalamika kuwa bajeti za serikali hazina fedha ...fedha zinaendaga wapi???safari hizi ni mojawapo ya loophole za matumizi ya hovyo ya fedha zetu.....inasikitisha wabunge wamekaa Dodoma wanalalamika bajeti zilizopitishwa hazikupewa fedha yote!!!!.......zitoke wapi fedha wakati mnamruhusu rais kusafiri atakavyo kila kukicha????.......
Mfano tu...Kwenye uzi huu kuna baadhi ya estimates za gharama za safar moja tu inayogharimu karibu mil.300.....huu si utani ni fedha ndefu sana hii ya nchi.....ukizidisha na safari za kila leo za JK unaweza usiamini ...maana inatisha....inasikitisha jambo hili wabunge wanaona sawa.....alafu wao hao wanalalamika bajeti hazipewi fedha....tuache mzaha wabongo....we can't be serious....
Mfano tu...Kwenye uzi huu kuna baadhi ya estimates za gharama za safar moja tu inayogharimu karibu mil.300.....huu si utani ni fedha ndefu sana hii ya nchi.....ukizidisha na safari za kila leo za JK unaweza usiamini ...maana inatisha....inasikitisha jambo hili wabunge wanaona sawa.....alafu wao hao wanalalamika bajeti hazipewi fedha....tuache mzaha wabongo....we can't be serious....