baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Gharama kiasi gani? Je hizo gharama zina impact gani kwenye hili ongezeko la pato la Taifa?Kwenda nje mara kwa mara siyo vizuri. Safari za rais ni gharama sana.
Kwa nchi maskini kama hii Tanzania yetu, siyo busara kutumia kodi za wananchi kwa safari zisizo na tija yoyote.
Rais anapaswa kuwa ndo mfano mzuri wa kubana matumizi.
Nchi ni maskini sana kwa Rais kuwa mzururaji wa dunia nzima.
Huyo hana lolote mchumia tumboNgoja katibu wake Lucas mwashambwa aje
Hapana. Rais ana uwezo wa kutosha wa kabisa wa kutuma wawakilishi kwenye hizo safari.Urais ni taasisi; taasisi ni watendaji. Hata Marekani ni hivyo even more!
Akikaa nchini mwezi bila kusafiri inasaidia nini!?Mjinga mimi nina swali. Ni swali kumhusu Rais Samia [baadhi yenu ni mama yenu].
Sina takwimu wala taarifa zingine zozote za kuufuta huu ujinga wangu.
Na hata sijui niende wapi ili kuzipata takwimu na taarifa hizo.
Hivyo basi, JamiiForums ndiyo kimbilio langu nitakapo kupata baadhi ya taarifa.
Kwa namna fulani, JF imekuwa ni injini ya utafutaji wa baadhi ya taarifa.
Sasa ni hivi; huyu Rais wetu tokea achukue madaraka, ameshakaa nchini kwa hata mwezi mzima [mmoja] bila kusafiri kwenda nje ya nchi?
Nauliza hivyo kwa sababu naona kama vile kila baada ya wiki mbili hivi huwa ni lazima asafiri kwenda nje ya nchi, jambo ambalo sidhani kama lina tija sana kitaifa.
Wajuzi nijuzeni, tafadhalini sana.
Anafunguaje nchi huku watu hata sukari hawana?Mama anafungua nchi, unadhani bila hizo safari lini angevaa saa ya mkononi yenye thamani ya Tsh mil 100,,?
Umezitoa wapi hizo takwimu zako?Gharama kiasi gani? Je hizo gharama zina impact gani kwenye hili ongezeko la pato la Taifa?
View attachment 2912570
Mfano Toka Magu aingie Madarakani hakuna mwaka ambao pato la Taifa limeongezeka zaidi ya 5B usd, ila miaka 3 tu ya mama ongezeko la zaidi ya 7B kila mwaka, je hizo Extra income compare na Gharama za usafiri ni worth it?
Inasaidia kubana matumizi ya rasilimali chache tulizonazo.Akikaa nchini mwezi bila kusafiri inasaidia nini!?
Nani kasema tuna rasilimali Chache!?..Kuna investment ya $40+b ya gesi,haikupatikana kwa rais kujifungia ikulu,rasilimali Chache,chache ukilinganisha na nini!?Inasaidia kubana matumizi ya rasilimali chache tulizonazo.
Mimi ndo nasema tuna rasilimali chache.Nani kasema tuna rasilimali Chache!?..Kuna investment ya $40+b ya gesi,haikupatikana kwa rais kujifungia ikulu,rasilimali Chache,chache ukilinganisha na nini!?
Nani anajali wewe unasema nini!?Mimi ndo nasema tuna rasilimali chache.
Shangazi yangu anajali.Nani anajali wewe unasema nini!?
Yeye hana akili zake mwenyewe?
Halafu nchi tajiri marais hawasafiri kabisa.. Mfano it is so bad for king of Japan kutoka nje ya japanKwenda nje mara kwa mara siyo vizuri. Safari za rais ni gharama sana.
Kwa nchi maskini kama hii Tanzania yetu, siyo busara kutumia kodi za wananchi kwa safari zisizo na tija yoyote.
Rais anapaswa kuwa ndo mfano mzuri wa kubana matumizi.
Nchi ni maskini sana kwa Rais kuwa mzururaji wa dunia nzima.
Ni kweli!Halafu nchi tajiri marais hawasafiri kabisa.. Mfano it is so bad for king of Japan kutoka nje ya japan
Jiwe hakuwa na hao wataalamu?Ana timu ya wataalamu wabobezi; mabingwa wa nyanja zote ambao hupanga safari zake.