Safari za Rais Samia nje ya nchi

Safari za Rais Samia nje ya nchi

Kwenda nje mara kwa mara siyo vizuri. Safari za rais ni gharama sana.

Kwa nchi maskini kama hii Tanzania yetu, siyo busara kutumia kodi za wananchi kwa safari zisizo na tija yoyote.

Rais anapaswa kuwa ndo mfano mzuri wa kubana matumizi.

Nchi ni maskini sana kwa Rais kuwa mzururaji wa dunia nzima.
Gharama kiasi gani? Je hizo gharama zina impact gani kwenye hili ongezeko la pato la Taifa?

Screenshot_20240222-210650_Pixel Launcher.png

Mfano Toka Magu aingie Madarakani hakuna mwaka ambao pato la Taifa limeongezeka zaidi ya 5B usd, ila miaka 3 tu ya mama ongezeko la zaidi ya 7B kila mwaka, je hizo Extra income compare na Gharama za usafiri ni worth it?
 
Mjinga mimi nina swali. Ni swali kumhusu Rais Samia [baadhi yenu ni mama yenu].

Sina takwimu wala taarifa zingine zozote za kuufuta huu ujinga wangu.

Na hata sijui niende wapi ili kuzipata takwimu na taarifa hizo.

Hivyo basi, JamiiForums ndiyo kimbilio langu nitakapo kupata baadhi ya taarifa.

Kwa namna fulani, JF imekuwa ni injini ya utafutaji wa baadhi ya taarifa.

Sasa ni hivi; huyu Rais wetu tokea achukue madaraka, ameshakaa nchini kwa hata mwezi mzima [mmoja] bila kusafiri kwenda nje ya nchi?

Nauliza hivyo kwa sababu naona kama vile kila baada ya wiki mbili hivi huwa ni lazima asafiri kwenda nje ya nchi, jambo ambalo sidhani kama lina tija sana kitaifa.

Wajuzi nijuzeni, tafadhalini sana.
Akikaa nchini mwezi bila kusafiri inasaidia nini!?
 
Gharama kiasi gani? Je hizo gharama zina impact gani kwenye hili ongezeko la pato la Taifa?

View attachment 2912570
Mfano Toka Magu aingie Madarakani hakuna mwaka ambao pato la Taifa limeongezeka zaidi ya 5B usd, ila miaka 3 tu ya mama ongezeko la zaidi ya 7B kila mwaka, je hizo Extra income compare na Gharama za usafiri ni worth it?
Umezitoa wapi hizo takwimu zako?
 
Kwenda nje mara kwa mara siyo vizuri. Safari za rais ni gharama sana.

Kwa nchi maskini kama hii Tanzania yetu, siyo busara kutumia kodi za wananchi kwa safari zisizo na tija yoyote.

Rais anapaswa kuwa ndo mfano mzuri wa kubana matumizi.

Nchi ni maskini sana kwa Rais kuwa mzururaji wa dunia nzima.
Halafu nchi tajiri marais hawasafiri kabisa.. Mfano it is so bad for king of Japan kutoka nje ya japan
 
Back
Top Bottom