Safari za Rais Samia nje ya nchi

Naongezea swali.
Je safari zake zimelikwsmuaje Taifa kwenye external exchange au kuuza bidhaa zetu nje?
 
Hapa ndo wachumi huwa ninashindwa kuwaelewa, hivi mnaposema uchumi wa wadanganyika umepanda kwa takwimu hizo, mnamaanisha kwa sasa ambapo hatuna maji, fedha mifukoni, umeme, vitu bei juu, dola hakuna, sukari hakuna?.

Hebu wekeni taarifa zinazoaksi uhalisia wa maisha sahihi achaneni na nadharia na propaganda za kuhadaa watu.

Wananchi wa kawaida hali ni tete kuliko mnavyojisifia nyie wenye mianya ya kuchukua chako mapema.
 
Mbona magufuri walikuwa wanampangia akawa anakataa,,ndo maana aliweza kuanzisha miradi mikubwa iliyowakifu hata chadema
 
Mbona magufuri walikuwa wanampangia akawa anakataa,,ndo maana aliweza kuanzisha miradi mikubwa iliyowakifu hata chadema
Hizo taarifa za kupangiwa ila akawa anakataa umezitoa wapi?
 
Bwana mdogo, nataka kubinafusisha familia yako kwa muda wa miaka kumi, baada ya muda huo, utakuwa umepata uzoefu wa kutosha wa kuingoza familia yako. Nasubilia mrejesho
 
Umejibu swali au una hoja na wewe ya kwako?!.
 
Kazi ya balozi ni ipi nje ya nchi?
 
Kwenda nje siyo shida.

Shida ni pale safari zinapozidi kuwa nyingi.ku
Kumbe kwenda nje sio shida, shida yako unataka outcome ya hizo safariii, si ndioo?? Kama nimatokeo chanya ya safariii za dr. Samia kwenda njee ni nyingiii saaana. Mfano wawekezaji wko wengi wameongezeka, wataliii na sekita mbalimbali za kitalaamu zimeboreshekaaa hata kisiasaa nchi imepiga hatua saaana ikiwemo hata 4 R zote hizi na uchumi kuimalika ni miongoni mwa faida za raisi kusafiri kwenda njee, zaidi na nzuriii zaidi ni hii ya kuboresha diplomasia na mataifa mengiiii duniani
 
...ambao walikuwa na hamu sana na safari hizo.Mungu awape nini sasa?Hivyo basi,wanampangia ratiba nzurinzuri zenye kufuatana ili kupata posho,kuosha macho na kufidia zile ambazo hawakuenda awamu ya tano.
 
Kazi ya balozi ni ipi nje ya nchi?
Tangia lini balozi akachukua nafsi ya Rais? Balozi atasaini na kujadili kila mkataba? Atakaa mezani na kufanya maamuzi kama ambayo yangefanywa na mkuu wa nchi? Basi kama ndio kusingekuwa na maana ya wakuu wa nchi kukutana sehemu yoyote ile maana kazi hiyo ingefanywa na mabalozi tu.
 
Jimama tapeli
 
Hujaelewa nilichokiandika, au?
 
Huo ni uzululaji tu, katika Dunia ya kisasa siyo lazima utembee, kuna namna nyingi za kufanya mawasiliano, na isitoshe hizo nchi zina balozi wetu
Huyu ni mzululaji kama kakake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…