Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Hasa yale ya kuteka watu, kupiga marisasi, kufunga watu bila hatia, kuharibu uchaguzi na wizi wa Mali za umma.
Mkuu kwa kutumia ushahidi usioacha mashaka (siyo hearsay na speculations), tafadhali thibitisha:
• Alimteka nani?
• Alimpiga nani risasi?
• Alimfunga nani na au lini aligeuka kuwa hakimu?
• Aliharibu uchaguzi upi na lini amekuwa msimamizi wa uchaguzi?
• Mali zipi za umma alizozoiiba?
 
Hivi mara ngapi huu mkataba unatiwa sign nadhani hata JPM alisign kama sikosei au mengine yalikuwa ni siasa tu maana walikutana sijui UG mji gani sikumbuki na hotuba zilitolewa mbona kama marudio tu kila mara au mimi sijaelewa.
 
Hivi mara ngapi huu mkataba unatiwa sign nadhani hata JPM alisign kama sikosei au mengine yalikuwa ni siasa tu maana walikutana sijui UG mji gani sikumbuki na hotuba zilitolewa mbona kama marudio tu kila mara au mimi sijaelewa.
ulisikiliza salamu za rambirambi za Rais Museven alizotoa akiwa ubalozi wa Tanzania nchini Uganda?
 
Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
CAG anasemaje kuhusu hayo mambo makubwa makubwa?
 
ulisikiliza salamu za rambirambi za Rais Museven alizotoa akiwa ubalozi wa Tanzania nchini Uganda?
Hapana ukweli sijasikiliza ndio maana nimeuliza inawezekana kuna kitu sijakiona au kusikia.
 
Hapana ukweli sijasikiliza ndio maana nimeuliza inawezekana kuna kitu sijakiona au kusikia.
Wiki kadhaa kabla ya Rais Magufuli kuaga dunia waliwasiliana na Rais Museven juu ya kukamilishwa kwa utiaji saini wa mkataba huu
 
Wanaompinga hawatupi shida. Tunawajua ni Sukuma na Burundi Gangs, hawana jipya
Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
 
Mkuu kwa kutumia ushahidi usioacha mashaka (siyo hearsay na speculations), tafadhali thibitisha:
• Alimteka nani?
• Alimpiga nani risasi?
• Alimfunga nani na au lini aligeuka kuwa hakimu?
• Aliharibu uchaguzi upi na lini amekuwa msimamizi wa uchaguzi?
• Mali zipi za umma alizozoiiba?
Hujitambui
 
IMG-20210411-WA0010.jpg
ameshawasili katinga za barakoa hana neno
 
Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
Makubwa yapi zaidi ya kuua demakrasia, na kuua ovyo wakosoaji wake na kufanya maamuzi ya ovyo yanayoligharimu taifa.
 
Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
Mambo makubwa ya kumpiga risasi lissu na kuwaua akina lwajabe
 
O
View attachment 1749075

Habari za Kazi wana Jamii Forum.
Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.


leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi.
Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.

TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA



TAYARI WAJUBA WASHAANZA KUZIHESABU KWA HARAKA HARAKA GHARAMA ZA MH RAIS KWA TRIP MOJA HUENDA MPAKA MILLION 300


RAIS SAMIA.
 
Ziara zenyewe anaenda kwa masikini wenzake.Kayafa typical!!🚶🚶🚶
 
Back
Top Bottom