Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
Huyo Jpm kafanya kubwa gani zaidi ya kupora korosho za watu huko kusini??
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wana bodi salaam.


Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuratibu safari za Mh Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ameapa kuwa rais kwa mujibu wa katiba kufuatia kifo cha hayati dKT John Pombe Joseph Magufuri march 17.03.2021. Kwa mujibu wa katibu makamu wa Rais anashika madaraka ya urais na ndipo hapo march 19, 2021 aliapa kuwa Rais wa Sitta wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SAFARI ZA KIMATAIFA

01. Tarehe 11,04.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda alipokutana na mwenyeji wake Jenerali Kaguta Msevin katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa kusafirisha mafuta ghafi toka Hoima Uganda hadi mkoani Tanga.

02. Tarehe 04.05.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Kenya. Pamoja na kuktana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, pia atahutubia mabunge yote ya Kenya. Ziara yake inatarajiwa kutatua msuguano wa kidiplomasia ambao umekuwepo kwa muda mrefu.

Picha rasmi za Mh Rais
tayari nimeupdate
 
Huu uzi ni wa muhimu sana.

LAKINI, kama wapo washauri wa Rais wahakikishe wanamshauri kuwa makini sana na Wakenya.

Ninasema hivi kwakuwa ninawafahamu vizuri wakenya na jinsi wanavyotuchukulia kiuhalisia

Wakenya wanaipenda Tanzania kimaslahi na kidhulma tu na si vinginevyo, hawana ujirani au urafiki wanaouzungumza.

J.P Magufuli alikuwa na mabaya yake lakini alifanya vizuri kwa kuhakikisha Wakenya hawachukui fursa za watanzania katika nchi yetu, hawaimport bidhaa ambazo hata sisi tunaweza kuziunda nchini

Hawachukui ajira za watanzania ambao nao sana sifa katika hizo ajira kama ualimu wa English medium school, International school, Hotel managements etc. ambazo walikuwa wamezishikilia wa LAKINI kule kwao hawatuajiri Watanzania.
 
Mama anapaswa kuzunguka sanaaa sanaaaa tu kuziba magape yaliyotengenezwa na awamu iliyopita, tunaihitaji sana dunia.
 
Watanzania kwenye hizo industry tunajiroga wenyewe mjomba, customer care zetu ni mbooovu kupindukia hatuna hospitality na hatuko charming hata kidogo yani kiujumla ni hatujali kabisa full ubabaishaji wacha wakenya wa zitumie hizo nafasi maana mchawi siyo Kenya bali tabia zetu wenyewe.
Huu uzi ni wa muhimu sana.

LAKINI, kama wapo washauri wa Rais wahakikishe wanamshauri kuwa makini sana na Wakenya.

Ninasema hivi kwakuwa ninawafahamu vizuri wakenya na jinsi wanavyotuchukulia kiuhalisia

Wakenya wanaipenda Tanzania kimaslahi na kidhulma tu na si vinginevyo, hawana ujirani au urafiki wanaouzungumza.

J.P Magufuli alikuwa na mabaya yake lakini alifanya vizuri kwa kuhakikisha Wakenya hawachukui fursa za watanzania katika nchi yetu, hawaimport bidhaa ambazo hata sisi tunaweza kuziunda nchini

Hawachukui ajira za watanzania ambao nao sana sifa katika hizo ajira kama ualimu wa English medium school, International school, Hotel managements etc. ambazo walikuwa wamezishikilia wa LAKINI kule kwao hawatuajiri Watanzania.
 
Ila awe mwangalifu na manyang'au!! Mwanzoni sikujua kumbe unyang'au huko knya ni sifa ya kujivunia!!
 
Huu ndio uongozi unaenda kubadilishana mawazo na wenzio ,sio unakaa tu nchini kufanya vitimbi vya ajabuajabu kama mwendazake .
 
Wana bodi salaam.


Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuratibu safari za Mh Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ameapa kuwa rais kwa mujibu wa katiba kufuatia kifo cha hayati dKT John Pombe Joseph Magufuri march 17.03.2021. Kwa mujibu wa katibu makamu wa Rais anashika madaraka ya urais na ndipo hapo march 19, 2021 aliapa kuwa Rais wa Sitta wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SAFARI ZA KIMATAIFA

01. Tarehe 11,04.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda alipokutana na mwenyeji wake Jenerali Kaguta Msevin katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa kusafirisha mafuta ghafi toka Hoima Uganda hadi mkoani Tanga.

02. Tarehe 04.05.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Kenya. Pamoja na kuktana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, pia atahutubia mabunge yote ya Kenya. Ziara yake inatarajiwa kutatua msuguano wa kidiplomasia ambao umekuwepo kwa muda mrefu.

Picha rasmi za Mh Rais
Safari ya tatu. Rais Samia Suluhu Hassan, amefika Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa mh Kaguta Museveni aliyemshinda Bob wine kwa asilia 58%.

Hii ni safari ya tatu tangu awe rais
 
Wana bodi salaam.


Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuratibu safari za Mh Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ameapa kuwa rais kwa mujibu wa katiba kufuatia kifo cha hayati dKT John Pombe Joseph Magufuri march 17.03.2021. Kwa mujibu wa katibu makamu wa Rais anashika madaraka ya urais na ndipo hapo march 19, 2021 aliapa kuwa Rais wa Sitta wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SAFARI ZA KIMATAIFA

01. Tarehe 11,04.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda alipokutana na mwenyeji wake Jenerali Kaguta Msevin katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa kusafirisha mafuta ghafi toka Hoima Uganda hadi mkoani Tanga.

02. Tarehe 04.05.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Kenya. Pamoja na kuktana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, pia atahutubia mabunge yote ya Kenya. Ziara yake inatarajiwa kutatua msuguano wa kidiplomasia ambao umekuwepo kwa muda mrefu.

Picha rasmi za Mh Rais
Safari ya tatu. Rais Samia Suluhu Hassan, amefika Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa mh Kaguta Museveni aliyemshinda Bob wine kwa asilia 58%.

Hii ni safari ya tatu tangu awe Rais wa JMT
 
View attachment 1749075

Habari za Kazi wana JamiiForums,

Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.


Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.

Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.

TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.
Safari ya tatu. 12.05.2021 Rais Samia Suluhu Hassan, amefika Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa mh Kaguta Museveni aliyemshinda Bob wine kwa asilia 58%.

Hii ni safari ya tatu tangu awe rais
 
Safari ya tatu. 12.05.2021 Rais Samia Suluhu Hassan, amefika Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa mh Kaguta Museveni aliyemshinda Bob wine kwa asilia 58%.

Hii ni safari ya tatu tangu awe rais
Huuu uzi utakuwa na Pages zaidi ya 1000 mpaka kufikia Oktoba, 2025 wakati wa Uchaguzi Mkuu. Naombea sana Nchi yangu asitokee VASCO da Gama mwingine baada ya Baba Riz
 
Huuu uzi utakuwa na Pages zaidi ya 1000 mpaka kufikia Oktoba, 2025 wakati wa Uchaguzi Mkuu. Naombea sana Nchi yangu asitokee VASCO da Gama mwingine baada ya Baba Riz
Huyu mama kama siyo masharti ya corona anaweza kuwa Vasco dagama
 
View attachment 1749075

Habari za Kazi wana JamiiForums,

Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.


Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.

Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.

TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.

01. Tarehe 11,04.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda alipokutana na mwenyeji wake Jenerali Kaguta Msevin katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa kusafirisha mafuta ghafi toka Hoima Uganda hadi mkoani Tanga.

02. Tarehe 04.05.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Kenya. Pamoja na kuktana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, pia atahutubia mabunge yote ya Kenya. Ziara yake inatarajiwa kutatua msuguano wa kidiplomasia ambao umekuwepo kwa muda mrefu.

03. Tarehe 12.05.2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda kuhudhuria sherehe ya kuapishwa Rais Kaguta Mseven ambaye ameapa kuwa rais kwa muhula wa sita mfululizo.

04. Tarehe 22.06.2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassani, ametua nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa dharura wa SADC.

Screenshot_20210623-050213.jpg
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wana bodi salaam.


Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuratibu safari za Mh Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ameapa kuwa rais kwa mujibu wa katiba kufuatia kifo cha hayati dKT John Pombe Joseph Magufuri march 17.03.2021. Kwa mujibu wa katibu makamu wa Rais anashika madaraka ya urais na ndipo hapo march 19, 2021 aliapa kuwa Rais wa Sitta wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

SAFARI ZA KIMATAIFA

01. Tarehe 11,04.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda alipokutana na mwenyeji wake Jenerali Kaguta Msevin katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa kusafirisha mafuta ghafi toka Hoima Uganda hadi mkoani Tanga.

02. Tarehe 04.05.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Kenya. Pamoja na kuktana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, pia atahutubia mabunge yote ya Kenya. Ziara yake inatarajiwa kutatua msuguano wa kidiplomasia ambao umekuwepo kwa muda mrefu.

03. Tarehe 22.06.2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassani, ametua nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa dharura wa SADC.

Picha rasmi za Mh Rais
Ya tatu hii, ndani ya siku 90 tu.
Screenshot_20210623-050213.jpg
 
Kwa hiyo tunaweza kusema ni wastani wa safari moja kila mwezi. Kama sikosei Uganda kishaenda mara mbili kwa hiyo jumla ya safari za nje zinatakiwa ziwe nne, labda zimekuwa chache kutokana na COVID-19 Viongozi wa nchi za nje wanahofia kualika Viongozi kutoka nchi nyingine.
Mkuu, update kwa kutaja namba. 1,2,3 etc
 
Back
Top Bottom