Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikumbushe tarehe ya kwanza ya safari ya ugandaKwa hiyo tunaweza kusema ni wastani wa safari moja kila mwezi. Kama sikosei Uganda kishaenda mara mbili kwa hiyo jumla ya safari za nje zinatakiwa ziwe nne, labda zimekuwa chache kutokana na COVID-19 Viongozi wa nchi za nje wanahofia kualika Viongozi kutoka nchi nyingine.
ANikumbushe tarehe ya kwanza ya safari ya uganda
Ok okSiikumbuki Mkuu lakini ukiitafuta humu utaipata.
01. Tarehe 11,04.2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani, afanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Uganda alipokutana na mwenyeji wake Jenerali Kaguta Msevin katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa kusafirisha mafuta ghafi toka Hoima Uganda hadi mkoani Tanga.View attachment 1749075
Habari za Kazi wana JamiiForums,
Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.
Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.
Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.
TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.
TEAM JIWE KAZINIView attachment 1749075
Habari za Kazi wana JamiiForums,
Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.
Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.
Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.
TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.
Cha muhimu ni kuwa Safari zinatija?Karibuni kwenye mada.
Mtakumbuka tangu mheshimiwa rais MagufuliJP aingie madarakani ameniwekea record ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye amesafiri mara chache mno tena ndani ya Africa tu. Hajawahi kutoka nje ya bara la Afrika kwa safari za kikazi tangu awe rais.
Mama Samia Suluhu Hassan tangu ameapishwa March 2021 ameanza safari ambazo hasa zina lengo la kukuza mahusiano na nchi yetu. Naomba sasa tuanze kuweka records za safari zake tangu awe Rais.
1. Alisafiri kwenda nchini Uganda kwa mwaliko wa Rais Yoweri Museveni kwaajili ya kusign mkataba wa bomba la mafuta
2. Safari ya pili ilikuwa nchini Kenya ambapo alialikwa na Rais Uhuru Kenyatta
3. Safari ya tatu nchini Uganda kwa uapisho wa Rais Museveni
4. Msumbiji kwa safari ya kikao cha wakuu wa nchi za SADC
5. Nchini Burundi kwaajili mwaliko wa Rais wa Burundi.
6. Tuendelee hapa kuandika record sawa
Na alimtumia huyu huyu SSH kama msaidizi wake. Alikuwa akimuandaa pengine pasipo yeye mwenyewe kujua.Cha muhimu ni kuwa Safari zinatija?
Yule jamaa hakusafiri kwa sababu mbili
1.Afya mgogoro
2.Lugha gongana
3.Uoga wa maswali ya wanahabari
Huyu ni DADA yake Vasco da Gama.Vasco da Gama mtarajiwa
Ili?Ndugu zangu kwa wale waliokuwepo humu kwa miaka mingi, kulikuwa na uzi uliokuwa unafuatilia safari za rais Kikwete na gharama za safari zake.
Natoa wito wa menejimenti ya JamiiForums kufuatilia ziara zote, gharama na faida tunazopata kama nchi.
Ahsanteni
UoleweIli?