Mkuu kwa kutumia ushahidi usioacha mashaka (siyo hearsay na speculations), tafadhali thibitisha:Hasa yale ya kuteka watu, kupiga marisasi, kufunga watu bila hatia, kuharibu uchaguzi na wizi wa Mali za umma.
Kusaini mkataba wa bomba la mafuta kutoka ugandaAnaenda wapi?
ulisikiliza salamu za rambirambi za Rais Museven alizotoa akiwa ubalozi wa Tanzania nchini Uganda?Hivi mara ngapi huu mkataba unatiwa sign nadhani hata JPM alisign kama sikosei au mengine yalikuwa ni siasa tu maana walikutana sijui UG mji gani sikumbuki na hotuba zilitolewa mbona kama marudio tu kila mara au mimi sijaelewa.
CAG anasemaje kuhusu hayo mambo makubwa makubwa?Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
Hapana ukweli sijasikiliza ndio maana nimeuliza inawezekana kuna kitu sijakiona au kusikia.ulisikiliza salamu za rambirambi za Rais Museven alizotoa akiwa ubalozi wa Tanzania nchini Uganda?
Wiki kadhaa kabla ya Rais Magufuli kuaga dunia waliwasiliana na Rais Museven juu ya kukamilishwa kwa utiaji saini wa mkataba huuHapana ukweli sijasikiliza ndio maana nimeuliza inawezekana kuna kitu sijakiona au kusikia.
Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
HujitambuiMkuu kwa kutumia ushahidi usioacha mashaka (siyo hearsay na speculations), tafadhali thibitisha:
• Alimteka nani?
• Alimpiga nani risasi?
• Alimfunga nani na au lini aligeuka kuwa hakimu?
• Aliharibu uchaguzi upi na lini amekuwa msimamizi wa uchaguzi?
• Mali zipi za umma alizozoiiba?
Makubwa yapi zaidi ya kuua demakrasia, na kuua ovyo wakosoaji wake na kufanya maamuzi ya ovyo yanayoligharimu taifa.Mama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
Mambo makubwa ya kumpiga risasi lissu na kuwaua akina lwajabeMama Samia ana kazi sana. Wengi wanampima huku reference point ikiwa JPM. Ndiyo shida ya kukamata uongozi huku mtangulizi wako akiwa amefanya mambo makubwa makubwa.
View attachment 1749075
Habari za Kazi wana Jamii Forum.
Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.
leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi.
Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.
TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA
RAIS SAMIA.
Ndiyo nani huyo?CAG anasemaje kuhusu hayo mambo makubwa makubwa?
Hao hao ndiyo wamemuweka madarakani.Wanaompinga hawatupi shida. Tunawajua ni Sukuma na Burundi Gangs, hawana jipya
Ndiyo majibu ya hayo maswali?Hujitambui