Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wana siri za mataifa mengi sana duniani. Ila hawana siri za kujua ni namna gani watazitumia rasilimali walizonazo kujikwamua kiuchumi na kupunguza utegemezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania wana siri za mataifa mengi sana duniani. Ila hawana siri za kujua ni namna gani watazitumia rasilimali walizonazo kujikwamua kiuchumi na kupunguza utegemezi.
Wewe unaejua kusoma sana huo ushahidi wa vitabu semi trella kumi uliviandika wewe au nawe umekariri tu kwa kusoma kama sisi tusiosoma tunavyokariri kwa uvivu wa kusoma? Nyani haoni kundule kama lina kovu ila humcheka mwezie kuwa ana kiraka kalioni, kuchamba kwingi mwisho mtu hutoka mchafu chooni.Bado nasisitiza tu kwamba vijana wa kitanzania bado ni shida sana kwani hawapendi kusoma na kutafuta taarifa ila wao ni kukariri tu na ushabiki kama wa Simba na Yanga.
Marekani ni taifa lenye watu "Think Tanks" na ni taifa ambalo vitabu walivyoandikia mipango yao ya maendeleo kwa miaka 200 ijayo vinaweza vikajaza semi trela hata kumi hivyo kutegemea kwamba mambo yake yanaweza yakakwamishwa na tu-nchi kama Venezuela au sijui Saudi Arabia ni kufikiria kitoto sana.
Sasa hivi wameshaanza mpango wa kutoa mapipa milioni mbili za mafuta ghafi kila siku kutoka kwenye akiba yao ya Strategic Oil Reserve ilioko Alaska na kufanya bei ya mafuta ghafi ipungue kwenye soko la dunia kutoka USD 124/bbd mpaka USD 106/bbd (High) na USD 98.6/bbd (Low) bei ya leo na bado itaendelea kushuka unafuu ambao hata sisi tutanufaika nao.
Wenzetu walishajipanga siku nyingi na kujiwekea Contingency Plans kwa kufahamu kwamba kuna kipindi lazima watakutana na taharuki fulani fulani.
Itakumbukwa kwamba Marekani ndio taifa la pili duniani, nyuma ya Russia, kwa kuwa na akiba kubwa ya mafuta ghafi kwa hiyo wanaofikiria kwamba wanaweza wakakwama kwa kukosa hiyo rasilimali watakuwa wanakosea sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umenifumbua macho mkuu.Unajua mtego wa Rais Maduro katika upana wake uko hivi :
1. Wakiamua kumtambua kuwa ndiye Rais halali tangu uchaguzi mkuu uliopita maana yake ni kuwa pesa zote za Venezuela zilizotokana na mauzo ya mafuta yake huko Marekani, zilizokuwa kwenye akaunti ya Marekani (mabilioni ya Dola) ambazo Marekani wakiamua kumpatia Guaido ambaye ndiye wanayemtambua, hayo maamuzi ni batili na itabidi wazirudishe zote!! Hilo Marekani hawezi! Pia Uingereza iliamua kutaifisha Tani kadhaa za dhahabu zenye thamani ya mabilioni ya paundi.
2. Wakimtambua Maduro maana yake wamtose rasmi kipenzi wao Guaido!! Unajua kuwa Akaunti ya nje ya Venezuela anaimiliki Guaido, na wanamtumia kuipora Venezuela, na hawana namna ya kurudisha Ile waliyopora Hadi Sasa! Na wanampango wa kuendelea kuipora!! Kwa mujibu wa Marekani na washirika wake Serikali rasmi ya Venezuela inaendeshwa na "Rais Guaido" na Ina makao yake uhamishoni Marekani. Kuna Baraza la mawaziri na mabalozi Nchi za nje. Wote wanapata mishahara kutoka Akaunti ya Venezuela iliyoshikiliwa huko Marekani, Uingereza nk. Huu uovu kuukiri Marekani hawezi!!
Kumbe wakubwa nao huwa wanatosana hahahahahaMsaudi naona katangaza kuiuzia China mafuta kwa ¥uan badala ya $ na pia kagomea kabisa kupokea simu za Biden chanzo ikiwa US kufufua makibaliano ya nuclear na Iran & kushindwa kumuunga mkono kwenye vita yake isiyo na mwisho kule Yemen
Umesimulia vizuri kuliko mke wa Maduro...Iko hivi, Marekani kwa kutaka kuikomoa Urusi wakapata mawazo ya kugomea kununua mafuta Yao. Lakini kabla hawajafikia muafaka wa kugomea mafuta ya Urusi wakaona watafuta chanzo mbadala Cha mafuta. Hapo ndio wakapata wazo la kuiomba Venezuela kwa Raid Maduro waweze kuànza téna kuchukia mafuta huko ambako mwanzo waliyagomea kwa kutokumtamvua Rais Maduro badala yake wakaamua kumtambua mpinzani wake aliyekuwa ameshindwa vibaya kwenye uchaguzi aitwaye Guaido.
Wakaona ni afadhali wameangukie Maduro kuliko kuendelea kununua mafuta ya Urusi. Ili kutekeleza sdhima hiyo, Marekani ikayuma ujumbe mzito kwa Rais Maduro wa Venezuela ambaye aliwaambia hakuna shida njoni tuyajenge (si unajua kwenye siasa hakuna sdui wa kudumu au rafiki wa kudumu, kinachoangaliwa ni maslahi!).
Kweli ujumbe mzito ukaenda na Rais Maduro akawapokea kwa bashasha na tabasamu la kufa mtu. Akawaambia hakuna shida mafuta nitawapatia. Wageni hao wa Rais Maduro wakarudi Marekani na moto wa kugomea mafuta ya Urusi maana wameshapata mafuta mbadala. Walipofika tu Marekani, Rais Biden wa Marekani akatoa amri ya kupiga marufuku ununuaji wa mafuta Toka Urusi.
Maduro akasubiri siku mbili Kisha akaioiga mkwara Marekani:
1. Nitawauzia mafuta lakini kwa masharti yafuatayo:
(i). Itabidi mnitambue rasmi kuwa Mimi ndiye Rais halali wa Venezuela tangu baada ya uchaguzi mkuu uliopita.
(Ii). Wakati nawaauzia mafuta Hilo halitaathiri ushirika wangu na Urusi na nitabaki mwamininifu kwa Nchi ya Urusi!!
Hayo masharti yakawa magumu Sana kwa Marekani na akashindwa kuyatekeleza wakati tayari ameshatangaza kugomea mafuta ya Urusi!! Bei ya mafuta Marekani ghafka ikapanda juu Sana!!
Rais Biden akaamua aiombe Saudi Arabia waongeze uzalishaji wa mafuta Ili kukabiliana na ongezeko la mahitaji ya Marekani lakini mfalme wa Saudia akamchunia na hakukubali kupigiwa simu na Biden!! Sasa hivi huu ko Marekani Biden anahaha!
Kaingizwa mkenge na kiburi hakimruhusu kuyakubali téna mafuta ya Urusi.
Sasa hapo kaingizwaje mkenge?Au matumizi ya lugha yamenipita mbali?Iko hivi, Marekani kwa kutaka kuikomoa Urusi wakapata mawazo ya kugomea kununua mafuta Yao. Lakini kabla hawajafikia muafaka wa kugomea mafuta ya Urusi wakaona watafuta chanzo mbadala Cha mafuta. Hapo ndio wakapata wazo la kuiomba Venezuela kwa Raid Maduro waweze kuànza téna kuchukia mafuta huko ambako mwanzo waliyagomea kwa kutokumtamvua Rais Maduro badala yake wakaamua kumtambua mpinzani wake aliyekuwa ameshindwa vibaya kwenye uchaguzi aitwaye Guaido.
Wakaona ni afadhali wameangukie Maduro kuliko kuendelea kununua mafuta ya Urusi. Ili kutekeleza sdhima hiyo, Marekani ikayuma ujumbe mzito kwa Rais Maduro wa Venezuela ambaye aliwaambia hakuna shida njoni tuyajenge (si unajua kwenye siasa hakuna sdui wa kudumu au rafiki wa kudumu, kinachoangaliwa ni maslahi!).
Kweli ujumbe mzito ukaenda na Rais Maduro akawapokea kwa bashasha na tabasamu la kufa mtu. Akawaambia hakuna shida mafuta nitawapatia. Wageni hao wa Rais Maduro wakarudi Marekani na moto wa kugomea mafuta ya Urusi maana wameshapata mafuta mbadala. Walipofika tu Marekani, Rais Biden wa Marekani akatoa amri ya kupiga marufuku ununuaji wa mafuta Toka Urusi.
Maduro akasubiri siku mbili Kisha akaioiga mkwara Marekani:
1. Nitawauzia mafuta lakini kwa masharti yafuatayo:
(i). Itabidi mnitambue rasmi kuwa Mimi ndiye Rais halali wa Venezuela tangu baada ya uchaguzi mkuu uliopita.
(Ii). Wakati nawaauzia mafuta Hilo halitaathiri ushirika wangu na Urusi na nitabaki mwamininifu kwa Nchi ya Urusi!!
Hayo masharti yakawa magumu Sana kwa Marekani na akashindwa kuyatekeleza wakati tayari ameshatangaza kugomea mafuta ya Urusi!! Bei ya mafuta Marekani ghafka ikapanda juu Sana!!
Rais Biden akaamua aiombe Saudi Arabia waongeze uzalishaji wa mafuta Ili kukabiliana na ongezeko la mahitaji ya Marekani lakini mfalme wa Saudia akamchunia na hakukubali kupigiwa simu na Biden!! Sasa hivi huu ko Marekani Biden anahaha!
Kaingizwa mkenge na kiburi hakimruhusu kuyakubali téna mafuta ya Urusi.
Ana akili za utata anaweza kuivamia Venezuela kupata mafuta kwa nguvu! Ulinzi uimarishwe huko.Aisee.. Noma sanaa
Niliiona hiyo ya Saudia kuwachunia ku pickup simu zao ila kuhusu venezuela sikujua kabisa..
No way itabidi akubali masharti ya venezuela tuu...
Mimi nimeikuta Youtube kwenye Source ya kuaminika na mashirika makubwa ya habari kama WON bila ya hivyo kwa namna mleta nada alivyoandika unaweza dhani CHAi .Habari za kubumba tupu. Habari hazina kichwa wala miguu. Ulimwengu wa sasa taarifa yoyote isiyo na chanzo inabaki kuwa story za kijiweni
Sasa akikubali sharti la pili si mafuta yatakuwa yanatoka Urusi kupitia Venezuela.Aisee.. Noma sanaa
Niliiona hiyo ya Saudia kuwachunia ku pickup simu zao ila kuhusu venezuela sikujua kabisa..
No way itabidi akubali masharti ya venezuela tuu...
Marekani anasugua gagaIko hivi, Marekani kwa kutaka kuikomoa Urusi wakapata mawazo ya kugomea kununua mafuta Yao. Lakini kabla hawajafikia muafaka wa kugomea mafuta ya Urusi wakaona watafuta chanzo mbadala Cha mafuta. Hapo ndio wakapata wazo la kuiomba Venezuela kwa Raid Maduro waweze kuànza téna kuchukia mafuta huko ambako mwanzo waliyagomea kwa kutokumtamvua Rais Maduro badala yake wakaamua kumtambua mpinzani wake aliyekuwa ameshindwa vibaya kwenye uchaguzi aitwaye Guaido.
Wakaona ni afadhali wameangukie Maduro kuliko kuendelea kununua mafuta ya Urusi. Ili kutekeleza sdhima hiyo, Marekani ikayuma ujumbe mzito kwa Rais Maduro wa Venezuela ambaye aliwaambia hakuna shida njoni tuyajenge (si unajua kwenye siasa hakuna sdui wa kudumu au rafiki wa kudumu, kinachoangaliwa ni maslahi!).
Kweli ujumbe mzito ukaenda na Rais Maduro akawapokea kwa bashasha na tabasamu la kufa mtu. Akawaambia hakuna shida mafuta nitawapatia. Wageni hao wa Rais Maduro wakarudi Marekani na moto wa kugomea mafuta ya Urusi maana wameshapata mafuta mbadala. Walipofika tu Marekani, Rais Biden wa Marekani akatoa amri ya kupiga marufuku ununuaji wa mafuta Toka Urusi.
Maduro akasubiri siku mbili Kisha akaioiga mkwara Marekani:
1. Nitawauzia mafuta lakini kwa masharti yafuatayo:
(i). Itabidi mnitambue rasmi kuwa Mimi ndiye Rais halali wa Venezuela tangu baada ya uchaguzi mkuu uliopita.
(Ii). Wakati nawaauzia mafuta Hilo halitaathiri ushirika wangu na Urusi na nitabaki mwamininifu kwa Nchi ya Urusi!!
Hayo masharti yakawa magumu Sana kwa Marekani na akashindwa kuyatekeleza wakati tayari ameshatangaza kugomea mafuta ya Urusi!! Bei ya mafuta Marekani ghafka ikapanda juu Sana!!
Rais Biden akaamua aiombe Saudi Arabia waongeze uzalishaji wa mafuta Ili kukabiliana na ongezeko la mahitaji ya Marekani lakini mfalme wa Saudia akamchunia na hakukubali kupigiwa simu na Biden!! Sasa hivi huu ko Marekani Biden anahaha!
Kaingizwa mkenge na kiburi hakimruhusu kuyakubali téna mafuta ya Urusi.
Sio kweli, kasome tena. Pale OPEC washirika wa Russia ni wangapi.Ubaya ni kwamba vyanzo vyote vya mafuta vipo mataifa washirika wa urusi.
Wewe unafahamu chanzo cha huo ufalme wa Saudia au unajiongelesha tu hapo.Saudi wamemkataa Mmarekani sasa wamemualika Rais wa China kuanza ushrikiano
View attachment 2153550
Anguko lao linakuja......Iko hivi, Marekani kwa kutaka kuikomoa Urusi wakapata mawazo ya kugomea kununua mafuta Yao. Lakini kabla hawajafikia muafaka wa kugomea mafuta ya Urusi wakaona watafuta chanzo mbadala Cha mafuta. Hapo ndio wakapata wazo la kuiomba Venezuela kwa Raid Maduro waweze kuànza téna kuchukia mafuta huko ambako mwanzo waliyagomea kwa kutokumtamvua Rais Maduro badala yake wakaamua kumtambua mpinzani wake aliyekuwa ameshindwa vibaya kwenye uchaguzi aitwaye Guaido.
Wakaona ni afadhali wameangukie Maduro kuliko kuendelea kununua mafuta ya Urusi. Ili kutekeleza sdhima hiyo, Marekani ikayuma ujumbe mzito kwa Rais Maduro wa Venezuela ambaye aliwaambia hakuna shida njoni tuyajenge (si unajua kwenye siasa hakuna sdui wa kudumu au rafiki wa kudumu, kinachoangaliwa ni maslahi!).
Kweli ujumbe mzito ukaenda na Rais Maduro akawapokea kwa bashasha na tabasamu la kufa mtu. Akawaambia hakuna shida mafuta nitawapatia. Wageni hao wa Rais Maduro wakarudi Marekani na moto wa kugomea mafuta ya Urusi maana wameshapata mafuta mbadala. Walipofika tu Marekani, Rais Biden wa Marekani akatoa amri ya kupiga marufuku ununuaji wa mafuta Toka Urusi.
Maduro akasubiri siku mbili Kisha akaioiga mkwara Marekani:
1. Nitawauzia mafuta lakini kwa masharti yafuatayo:
(i). Itabidi mnitambue rasmi kuwa Mimi ndiye Rais halali wa Venezuela tangu baada ya uchaguzi mkuu uliopita.
(Ii). Wakati nawaauzia mafuta Hilo halitaathiri ushirika wangu na Urusi na nitabaki mwamininifu kwa Nchi ya Urusi!!
Hayo masharti yakawa magumu Sana kwa Marekani na akashindwa kuyatekeleza wakati tayari ameshatangaza kugomea mafuta ya Urusi!! Bei ya mafuta Marekani ghafka ikapanda juu Sana!!
Rais Biden akaamua aiombe Saudi Arabia waongeze uzalishaji wa mafuta Ili kukabiliana na ongezeko la mahitaji ya Marekani lakini mfalme wa Saudia akamchunia na hakukubali kupigiwa simu na Biden!! Sasa hivi huu ko Marekani Biden anahaha!
Kaingizwa mkenge na kiburi hakimruhusu kuyakubali téna mafuta ya Urusi.
US hawezi kugusa Saudi Arabia maana pale Kuna miji mitakatifu, Islam wako siriazi na dini yao sio Kama sisi wakristo Mara Mwamposa na Nabii Shila,
Irani na Saudi kutokuelewana ni sawa na mgogoro wa familia tu.