mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Unajua kosa alilolifanya kibu?Nyie si mnasema hamkomoagi wachezaji na kipindi kile cha Fei mlituambia mchezaji kama hana furaha aachwe, kumbe na nyie mnakomoa wachezaji.
Ila za ndani Manula anataka kwenda Azam kwa Mkopo na Azam wamesha waandikia barua na ndio maana kakataa kusafiri na timu.
Hujui hiyo adhabu ni mbaya sana, mchezaji kukaa nje muda mrefu kunamuharibu kisaikolojia na match fitness anapoteza, hii itasababisha kushusha kiwango chake na mwishowe thamani yake sokoni itashuka pia, usijekushangaa hao waliomdanganya sasa hivi wakamkimbia baadae.Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?
Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
Mwamba genta kweli hii?Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
Uliishawahi kusikia Simba ina matatizo ya kiusajili?Kwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?
Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
mkataba wa kibu hauna kifungu cha kumuuza kwa kima hicho,ni janja janja tuKlabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
Dollar billion moja ya Zimbabwe?Baada ya Simba SC kuwaambieni leteni Dola za Kimarekani Bilioni Moja ndiyo mumchukue na kwakuwa hamna kwani hata Magodoro yenu yenye Kunguni sasa hayauziki tena ndiyo mnazuga kwa Kumchana kuwa hafai na Kwenu akija hana Namba?
Hovyooooo......!!
Itakua ume anza kufatilia mpira jana jioniUliishawahi kusikia Simba ina matatizo ya kiusajili?
Hee!!..kumbe ni ufala ubwelaHivi unajua kuwa Kisaikolojia Mchezaji kukaa Benchi ni Mateso makubwa na anaathirika sana? Ulivyo Juha unashangaa Mchezaji kuwekwa Benchi kwa Makusudi kama Kumkomoa na ukisema kuwa anakula Mshahara wa bure na hapo hapo hujui kuwa hata Kipa wako Msaliti, Duka na Aliyetuumiza katika zile 5 kwa 1 Aishi Manula nae anapitia Adhabu hii hii ya Kisaikolojia japo Mshahara wake anapewa kama kawaida.
Mtafute sasa kisha muangalie hata akiwa anaongea utagundua kuwa Aishi Manula hayuko sawa tena Kisaikolojia na akihojiwa anazuga kuwa bado yuko Majeruhi wakati ukweli ni kwamba Kapigwa Pini ya maana Kumkomoa.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela.
Kibu hana thamani hiyo..!! Yaani msimu mzima ana goli moja halafu uje useme anauzwa kwa hela hizo, AKILI HANA HUYO MSEMAJI WENU..!!!Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
AwesuUliishawahi kusikia Simba ina matatizo ya kiusajili?
Mbona umekurupuka kama lilivyo jina lako? Hii koment imemlenga mleta post.Unajua kosa alilolifanya kibu?
Kwani mchezaji akitaka kununuliwa utaratibu ukoje?nimeamini manara alisema kweli.
Sasa kama KIBU HANA furaha si aondoke.NANI KAMZUIA?Mbona umekurupuka kama lilivyo jina lako? Hii koment imemlenga mleta post.
Ndio umuulize mwenzio, maana mwanzo kwenye swala la Fei alituambia mchezaji kama hana furaha aachwe hamna haja kumng'ang'ania na kumkomoa na akajisifu 5imba hawawakomoi wachezaji wala kuwang'ang'ania. So muacheni Kibu na Manula waondoke.
Eti dola bilioni moja, kibu iyo thamani kaitoa wapi aliyefunga goli moja kwa msimu mzima? Yaani yanga wamuwazie kumchukua kibu ata ukitumia akili ya kawaida! Mnajazwa na mnajaa kirahisi kabisaKlabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu.
Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za Kimarekani Bilioni Moja.
Uzeni Magodoro yenu na Juice zenu Uchwara muipate hiyo Hela kisha mje Kumsajili. Mmeshashtukiwa na wenye Akili kuwazidi kuwa Jeuri hii yote mko nyuma yake.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela tu.
Na hata aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji aliposema ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Nyani na Sokwe huenda alikuwa sahihi pia.Unajua kosa alilolifanya kibu?
Kwani mchezaji akitaka kununuliwa utaratibu ukoje?nimeamini manara alisema kweli.
Unategemea Juha kama huyo aelewe Kweli?Hujui hiyo adhabu ni mbaya sana, mchezaji kukaa nje muda mrefu kunamuharibu kisaikolojia na match fitness anapoteza, hii itasababisha kushusha kiwango chake na mwishowe thamani yake sokoni itashuka pia, usijekushangaa hao waliomdanganya sasa hivi wakamkimbia baadae.
Mbona laana kama zote,mwombeeni baraka nanyi mbarikiwe.Mkimlaani nanyi mtalaaniwa.Anafikiri simba itapata hasara ,,simba ipo toka 1930s na pengine itakuepo hadi mwisho wa dunia ila Kibu hawezi cheza mpira hata kwa miaka 20. Ili apate tena hela kama hii au zaidi ambayo kaipata sasa, ni kwasababu alikua anacheza na Simba ilimuamini. Ndo maana wachezaji wenye akili akipigwa benchi anaomba kuhama kwasababu anajua asiponekana ataua kiwango ,carier yake na mwisho atakosa hata ile pesa ndogo aliyokua anapata.
Alitumwa na wivu wa wanasimba kwa wananchi.Kwanini Luc Eymael aliwaiteni wana Yanga SC wote Mbwa, Sokwe na Nyani Mkuu? au labda kuna Kitu alikiona huko Kwenu?