GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #81
Najua Ahmed Ally kaisema kwa kuweka na Utani ndani yake ila Dau halisi la Kibu Denis kwa Timu yoyote Kumnunua ni Dola za Kimarekani Milioni Moja.Mwamba genta kweli hii?
Safi sana Mkuu kwa jibu lako hili la Kibabe.Sasa kama KIBU HANA furaha si aondoke.NANI KAMZUIA?
Ndiyo maana yake Mkuu.Ubaya Ubwela
Hovyoooooo.......!!Alitumwa na wivu wa wanasimba kwa wananchi.
Kwani Fei kuna mtu aliye mzuia........Sasa kama KIBU HANA furaha si aondoke.NANI KAMZUIA?
Si mpaka samia kaingilia kati ushasahau?Kwani Fei kuna mtu aliye mzuia........
Ubaya Ubwege.
Samia kuingilia maamuzi ya chombo caha FIFA ndio unaona Fei yupo sahihi? Vp na hili la Kibu na Manula Samia akiingilia kati,utaona sawa.Si mpaka samia kaingilia kati ushasahau?
samia aingilie kati suala la kibu kwani kuna mtu kamkataza kibu kuondoka?Samia kuingilia maamuzi ya chombo caha FIFA ndio unaona Fei yupo sahihi? Vp na hili la Kibu na Manula Samia akiingilia kati,utaona sawa.
Yaani sheria za mpira na maamuzi ya chombo kinacho tambulika na FIFA, mwanasiasa kuingilia unaona sawa. Shukuruni tu FIFA hawa kulisikia swala la Fei,maana tungepigwa ban na kuishia humu .
milango ipo wazi KIBU AONDOKE.si hayupo kwenye timu?aendelee kukaa huko huko alipo.alafu tuone atacheza timu gani.Samia kuingilia maamuzi ya chombo caha FIFA ndio unaona Fei yupo sahihi? Vp na hili la Kibu na Manula Samia akiingilia kati,utaona sawa.
Yaani sheria za mpira na maamuzi ya chombo kinacho tambulika na FIFA, mwanasiasa kuingilia unaona sawa. Shukuruni tu FIFA hawa kulisikia swala la Fei,maana tungepigwa ban na kuishia humu .
Uko shallowKwa hiyo Kibu Denis anarejea Simba kuja kucheza au kukaa benchi huku akila mshahara wa bure?
Aliyetuloga wanasimba huenda naye kalogwa.
uu haya majuha sasa wewe fikiria kununua ticket hayawajibiki mpaka supu za Bure ndipo yanajaa.Si ni mapoyoyo tuHivi unajua kuwa Kisaikolojia Mchezaji kukaa Benchi ni Mateso makubwa na anaathirika sana? Ulivyo Juha unashangaa Mchezaji kuwekwa Benchi kwa Makusudi kama Kumkomoa na ukisema kuwa anakula Mshahara wa bure na hapo hapo hujui kuwa hata Kipa wako Msaliti, Duka na Aliyetuumiza katika zile 5 kwa 1 Aishi Manula nae anapitia Adhabu hii hii ya Kisaikolojia japo Mshahara wake anapewa kama kawaida.
Mtafute sasa kisha muangalie hata akiwa anaongea utagundua kuwa Aishi Manula hayuko sawa tena Kisaikolojia na akihojiwa anazuga kuwa bado yuko Majeruhi wakati ukweli ni kwamba Kapigwa Pini ya maana Kumkomoa.
Kudadadeki......Ubaya Ubwela.
Wewe nae ni kei tu kwani alishikiwa bunduki kusaini maktaba mpya.Hivi kumbe wajinga mpo wengiMuachieni kibu aende anapopapenda kwanini mnamng'ang'ania? Mchezaji yupo huru kuamua wapi acheze na wapi asicheze. Kama mlivyomchangia fei pesa za kwenda fifa na kibu tumchangie pia
Kwani Fei kuna mtu alimkataza kuondoka...... sasa kipi kilikuwa kinamzuia?samia aingilie kati suala la kibu kwani kuna mtu kamkataza kibu kuondoka?
Kumbe wewe ni mgumu kuelewa.wakati fei anataka kuondoka alikuwa na mkataba na yanga au hana?Kwani Fei kuna mtu alimkataza kuondoka...... sasa kipi kilikuwa kinamzuia?
Kwani Kibu ameambiwaje?Kumbe wewe ni mgumu kuelewa.wakati fei anataka kuondoka alikuwa na mkataba na yanga au hana?
Alipotaka kuvunja mkataba aliambiwaje na viongozi wa yanga?
hakuna alichoambiwa.zaidi anatakiwa arudi kambini.kwani timu gani inayomtaka kibu?Kwani Kibu ameambiwaje?
Huyu aliye andika huu uzi,lisema 5imba wamemwambia aweke USD 1m au ww hujasikia? Ndio maana nilikuambia hii koment hazi kuhusu ww na ndio maana huzihelewi.hakuna alichoambiwa.zaidi anatakiwa arudi kambini.kwani timu gani inayomtaka kibu?
Kumbuka kibu ameingia mkataba na simba miaka 2.
nilisema kibu LAZMA ATARUDI SIMBA kama sio kucheza basi atarudi kuomba KUONDOKA.alikuwa anajitekenya mwenyewe tu.dunia ya sasa hauwezi kuhama timu kienyeji.
Si nyie wenyewe mumemshobokea hadi mkamuingiza chaka?We unaona kwa akili zako chache ( maana huna akili) pale yanga yule bob marley anamuweka nani benchi?
Mwenye hela AKAE MEZANI.furaha atapewa na mkewe sio simba.kashindwa abaki nyumbani kwake milele asirudi simba.Huyu aliye andika huu uzi,lisema 5imba wamemwambia aweke USD 1m au ww hujasikia? Ndio maana nilikuambia hii koment hazi kuhusu ww na ndio maana huzihelewi.
Kienyeji vipi tulikubaliana humu na huyu mleta uzi mchezaji akijisikia hana furaha, anajipangia dau atakalo na kuwawekea timu inayo mmiliki na kuondoka?
Au kienyejeji hiyo unayo izungumzia ww ni ipi? Maana tumeona kwa kwa Fei,ikaja Dube na nyie mkatoa boko kwa Lawi mmeingiza pesa kwa mchezaji bila kuishirikisha Coast, leo Lawi yupo Ubeliji.