Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Arusha ukizunguka kidogo tu
ushauacha mji utalingamisha na mwanza kweli?
Ukubwa na uzuri ni vitu viwili tofauti.Wewe unaweza ishi sehemu yenye hatari kama hii?👇

Screenshot_20211118-215300.png
 
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.

Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.

Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania.

Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.

Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.

Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.

Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.

Bila kusahau leisure facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nji yetu.

Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.

View attachment 2038839

View attachment 2038840

View attachment 2038841

View attachment 2038842

View attachment 2038843
.

Hapo tayari umeshajijibu na kujifu kwa maana wewe ni wahukohuko.

Arusha level yake mbeya, mikoa hii unaweza ukailinganisha ipi bora.

1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya, Dom, Arusha na Tanga
 
Hiyo no part tuu ya Dom,,Dom iko mbele kwa Miji mingi hapa Tzn in terms of barabara,town planning,growth rates na Sasa viwanda na mahotel ya nyota tano..

Dom ni construction site kama Dar kwa sasa kwa hiyo kuwa mpole.

Kwa vitu vingi ilhali hadi hoteli wajengewe na serikali 🤣

Hebu nitumie picha ya juu ya dodoma kama hio

Dodoma ni mji wa kiserikali mkuu lazima upangwe na ndio maana serikali wanajiwekeza sana

Ila when it comes to private investments haiwezi nusa hata pua kwa Arusha

Alafu kama mama anawakacha kiaina huo mji wenu wa mchongo 🤣🤣
 
Yani watu wangejua Dar es salaam ina watu wengi kuliko los Angeles sijui wangesemaje

Watu hapa wanachanganya ukubwa na uzuri

View attachment 2039101
Sijui kwa nini hii taarifa ya Millard naiona ni ya uongo kabisa Mwanza haiwezi kuwepo kwenye mikoa maskini ila Kilimanjaro ndio inapaswa kuwekwa kwenye Mikoa maskini zaidi Tanzania.
 
Akilli zako ndio zimeshia hapo?
Kuwa analytical kanda ya ziwa in one third population.
Na hujui hata hiyo kansa wanaugua watu gani wazee, watoto, vijana au kinamama.
Usiwe kasuku.
Mji hadi katikati kuna nyumba za tembe
We bwana wewe jua Mwanza kama part ya Kanda ya Ziwa kuna kansa sasa kama hutaki basi tufanye Mwanza ni part ya Dar ila Hali halisi ni hii hapa 👇

Screenshot_20211210-104235.png
 
Sijajua kwa nini Arusha ni jiji. Ukiona nyumba yoyote imeangalia lami nenda nyuma ya hizo nyumba utakuta nyumba za udongo, tena sio mbali we anzia Sanawari, mianzini, Kwa Iddi kote huko nyuma ya nyumba nzuri unakutana na za udongo na hii hali huwezi kuikuta Dar wala Mwanza. Hivi hiyo barabara ya clock tower kwenda Kisongo unaiweka kwenye viwango vya barabara za Dar na Mwanza?

Hizo Hotel zinazoongelewa zinadaiwa maana zilishafilisika ni majengo yamebaki. Si unajua anguko la Snow crest, Impala, Ngurdoto, ile ya Sanawari yenye vioo vya bluu. Nenda Mwanza uone jinsi wenye Hotel na guest house walivyo wakarimu wanakupeleka hotelini au guest house na kukurudisha stand kwa gharama zao. Hili huwezi kulikuta Arusha wala Dar na hakuna hoteli iliyofilisika.

Hivyo viwanja vya Ndege angalia takwimu za abiria kwenye viwanja vya Tanzania uone ni uwanja gani unaingiza pesa nyingi.

Angalia stendi ya mabasi ya Singida na ya Arusha ipi bora, Soko la Kilombero na la Magomeni lipi bora?

Nafikiri ungeangalia takwimu na kutembelea nchi hii kwanza la sivyo hoja bila takwimu ni kufurahisha jukwaa.
Ngoja tujisomee kwanza hapa
Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania
 
We bwana wewe jua Mwanza kama part ya Kanda ya Ziwa kuna kansa sasa kama hutaki basi tufanye Mwanza ni part ya Dar ila Hali halisi ni hii hapa 👇

View attachment 2039106
Una jua data analysis?
Kama hujui endelea na discusion zingine.
Mwanza inakaa hapo no.2 kwa kipi hasa cha maana?
Source iliyotaja kanda ya ziwa inaongoza kwa kansa ndio hiyo
imei- rank mwanza kuwa ya pili sijui unafikir kwa kutumia nin.
 
Sijui kwa nini hii taarifa ya Millard naiona ni ya uongo kabisa Mwanza haiwezi kuwepo kwenye mikoa maskini ila Kilimanjaro ndio inapaswa kuwekwa kwenye Mikoa maskini zaidi Tanzania.

Millard ayo ametokea kaskazini, na watu wa kaskazini most of them ni kawaida yao kusifia cha kwao hata kama hakina sifa. Namashaka na uraia wao hawa watu kwa maana wako very different na watanzania
 
Back
Top Bottom