The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ukubwa na uzuri ni vitu viwili tofauti.Wewe unaweza ishi sehemu yenye hatari kama hii?👇Arusha ukizunguka kidogo tu
ushauacha mji utalingamisha na mwanza kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukubwa na uzuri ni vitu viwili tofauti.Wewe unaweza ishi sehemu yenye hatari kama hii?👇Arusha ukizunguka kidogo tu
ushauacha mji utalingamisha na mwanza kweli?
Sijakuelewa au hujanielewa tuishie hapa.Sasa Mji gani ambao vimitaa kama hivyo haujapimwa?
Hiyo no part tuu ya Dom,,Dom iko mbele kwa Miji mingi hapa Tzn in terms of barabara,town planning,growth rates na Sasa viwanda na mahotel ya nyota tano..
Yani watu wangejua Dar es salaam ina watu wengi kuliko los Angeles sijui wangesemajeUkubwa na uzuri ni vitu viwili tofauti.Wewe unaweza ishi sehemu yenye hatari kama hii?👇
View attachment 2039097
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Bila kusahau leisure facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nji yetu.
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
Akilli zako ndio zimeshia hapo?Ukubwa na uzuri ni vitu viwili tofauti.Wewe unaweza ishi sehemu yenye hatari kama hii?👇
View attachment 2039097
Miji sio CBD tu ni zaidi ya hapo, angalia majority wanaishi wapi na mpangilio wa makazi yao sio CBD period.
Mwanza inakaa hapo no.2 kwa kipi hasa cha maana?Hapo tayari umeshajijibu na kujifu kwa maana wewe ni wahukohuko.
Arusha level yake mbeya, mikoa hii unaweza ukailinganisha ipi bora.
1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya, Dom, Arusha na Tanga
Hali ya hewa ya kustajabisha ndo ipoje?
Sasa Mwanza yenu zaidi ya CBD huko kwingine si kujejaa uchafu na uswazi kwani uongo?Miji sio CBD tu ni zaidi ya hapo, angalia majority wanaishi wapi na mpangilio wa makazi yao sio CBD period.
Mwanza inakaa hapo no.2 kwa kipi hasa cha maana?
Hiyo no part tuu ya Dom,,Dom iko mbele kwa Miji mingi hapa Tzn in terms of barabara,town planning,growth rates na Sasa viwanda na mahotel ya nyota tano..
Dom ni construction site kama Dar kwa sasa kwa hiyo kuwa mpole.
Sijui kwa nini hii taarifa ya Millard naiona ni ya uongo kabisa Mwanza haiwezi kuwepo kwenye mikoa maskini ila Kilimanjaro ndio inapaswa kuwekwa kwenye Mikoa maskini zaidi Tanzania.Yani watu wangejua Dar es salaam ina watu wengi kuliko los Angeles sijui wangesemaje
Watu hapa wanachanganya ukubwa na uzuri
View attachment 2039101
We bwana wewe jua Mwanza kama part ya Kanda ya Ziwa kuna kansa sasa kama hutaki basi tufanye Mwanza ni part ya Dar ila Hali halisi ni hii hapa 👇Akilli zako ndio zimeshia hapo?
Kuwa analytical kanda ya ziwa in one third population.
Na hujui hata hiyo kansa wanaugua watu gani wazee, watoto, vijana au kinamama.
Usiwe kasuku.
Mji hadi katikati kuna nyumba za tembe
Sasa Mwanza yenu zaidi ya CBD huko kwingine si kujejaa uchafu na uswazi kwani uongo?
ndugai aliwaambia waache kuezeka kwa masufuria wanunue mabati ukiangalia vile vibiriti vyao kule mlimani ni kichefuchefu tupu🤣Sasa Mwanza yenu zaidi ya CBD huko kwingine si kujejaa uchafu na uswazi kwani uongo?
ndugai aliwaambia waache kuezeka kwa masufuria wanunue mabati ukiangalia vile vibiriti vyao kule mlimani ni kichefuchefu tupu🤣Sasa Mwanza yenu zaidi ya CBD huko kwingine si kujejaa uchafu na uswazi kwani uongo?
Ngoja tujisomee kwanza hapaSijajua kwa nini Arusha ni jiji. Ukiona nyumba yoyote imeangalia lami nenda nyuma ya hizo nyumba utakuta nyumba za udongo, tena sio mbali we anzia Sanawari, mianzini, Kwa Iddi kote huko nyuma ya nyumba nzuri unakutana na za udongo na hii hali huwezi kuikuta Dar wala Mwanza. Hivi hiyo barabara ya clock tower kwenda Kisongo unaiweka kwenye viwango vya barabara za Dar na Mwanza?
Hizo Hotel zinazoongelewa zinadaiwa maana zilishafilisika ni majengo yamebaki. Si unajua anguko la Snow crest, Impala, Ngurdoto, ile ya Sanawari yenye vioo vya bluu. Nenda Mwanza uone jinsi wenye Hotel na guest house walivyo wakarimu wanakupeleka hotelini au guest house na kukurudisha stand kwa gharama zao. Hili huwezi kulikuta Arusha wala Dar na hakuna hoteli iliyofilisika.
Hivyo viwanja vya Ndege angalia takwimu za abiria kwenye viwanja vya Tanzania uone ni uwanja gani unaingiza pesa nyingi.
Angalia stendi ya mabasi ya Singida na ya Arusha ipi bora, Soko la Kilombero na la Magomeni lipi bora?
Nafikiri ungeangalia takwimu na kutembelea nchi hii kwanza la sivyo hoja bila takwimu ni kufurahisha jukwaa.
Una jua data analysis?We bwana wewe jua Mwanza kama part ya Kanda ya Ziwa kuna kansa sasa kama hutaki basi tufanye Mwanza ni part ya Dar ila Hali halisi ni hii hapa 👇
View attachment 2039106
Source iliyotaja kanda ya ziwa inaongoza kwa kansa ndio hiyoMwanza inakaa hapo no.2 kwa kipi hasa cha maana?
Sijui kwa nini hii taarifa ya Millard naiona ni ya uongo kabisa Mwanza haiwezi kuwepo kwenye mikoa maskini ila Kilimanjaro ndio inapaswa kuwekwa kwenye Mikoa maskini zaidi Tanzania.