Ndio ukweli lakini angalau kuna maeneo yaliyopimwa kuzidi Arusha.Sasa Mwanza yenu zaidi ya CBD huko kwingine si kujejaa uchafu na uswazi kwani uongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli lakini angalau kuna maeneo yaliyopimwa kuzidi Arusha.Sasa Mwanza yenu zaidi ya CBD huko kwingine si kujejaa uchafu na uswazi kwani uongo?
Onyesha barabara hata moja hapo kwenye kijiji kikubwa cha Mwanza inayofanana na hii👇Ni aibu mno na kujidhalilisha kuikosoa mwanza na kukisifia kiarusha chako.
well said ukileta arguments uwe na factsMwanza ni nzuri pia! Ila kwa vigezo alivoelezea mtoa maada mwanza iko nyuma ya arusha!
Hii ni hoteli ya serikali sio? 🤣🤣Kwa vitu vingi ilhali hadi hoteli wajengewe na serikali 🤣
Hebu nitumie picha ya juu ya dodoma kama hio
Dodoma ni mji wa kiserikali mkuu lazima upangwe na ndio maana serikali wanajiwekeza sana
Ila when it comes to private investments haiwezi nusa hata pua kwa Arusha
Alafu kama mama anawakacha kiaina huo mji wenu wa mchongo 🤣🤣
Ambayo haijaathiriwa na mabadiliko ya tabianchiHali ya hewa ya kustajabisha ndo ipoje?
🤣🤣Sijui kwa nini hii taarifa ya Millard naiona ni ya uongo kabisa Mwanza haiwezi kuwepo kwenye mikoa maskini ila Kilimanjaro ndio inapaswa kuwekwa kwenye Mikoa maskini zaidi Tanzania.
Uko ngusero na morombo hadi intel sikuizi ni lami tuMnaliwezaje lile vumbi ile mitaanya ungalimi, uswahilini, ngusero, moromboo, olasiti na ukanda wote kusini maghalib,
Onyesha barabara hata moja hapo kwenye kijiji kikubwa cha Mwanza inayofanana na hii👇
View attachment 2039111
View attachment 2039112
Miji ni viwanda pia.Dom hii hapa 👇Miji sio CBD tu ni zaidi ya hapo, angalia majority wanaishi wapi na mpangilio wa makazi yao sio CBD period.
hao watu wa ziwani wanajuaga mjini ni kwao tu hawajui zama zimebadilika
Mbona wachaga mnakimbilia mwanza kijijini mnashindwa kubaki mjini?
uyo uskute alikujavarusha 2001 anatumia reference ya leoUko ngusero na morombo hadi intel sikuizi ni lami tu
wewe sijui unatoka wapi mkuu
hata mimi nimekua naskia Arusha ni Geneva of Africa.hao watu wa ziwani wanajuaga mjini ni kwao tu hawajui zama zimebadilika
Tangu nasoma naskia mwanza ni mji wa pili ila ukienda sasa dah🤣🤣
Morombo lami inaishia wanapo choma nyama zaid ya hapo ni vumbiuyo uskute alikujavarusha 2001 anatumia reference ya leo
Kwaiyo unavoona wachina na wazungu wako Afrika ni kwamba sisi tumewazidi???Mbona wachaga mnakimbilia mwanza kijijini mnashindwa kubaki mjini?
kila mwaka Mwanza inaoongoza kwa miji inayokua kwa kasi afrika.
akikutumia hio picha nitag🤣🤣Onyesha barabara hata moja hapo kwenye kijiji kikubwa cha Mwanza inayofanana na hii👇
View attachment 2039111
View attachment 2039112
Hujasema ukweli,hakuna barabara hata moja Makao Mapya,Kaloleni au Ngarenaro ambayo haina lami nilipita tarehe 01/12/2021 nikashangaa kulivyopendeza na baada ya wamachinga kuondolewa mabarabarani Arusha imependeza sana lazima ninunue kiwanja kule Safari CityUkiondoa hali nzuri ya hewa, Arusha ni jiji la ovyo kabisa. Nyumba za ovyo zipo hadi ndani ya CBD, barabara ni nyembamba na hazina hadhi. Barabara nyingi hazina lami nenda makao mapya uone vumbi la ugoro. Arusha ndani ya miaka 60 ya uhuru inafaa kuitwa squalor of Africa
Weka facts za kuongoza kila mwaka hapa.Mbona wachaga mnakimbilia mwanza kijijini mnashindwa kubaki mjini?
kila mwaka Mwanza inaoongoza kwa miji inayokua kwa kasi afrika.