The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwani hapa Tzn mji upi ambao una lami kwenye mitaa yote?Morombo lami inaishia wanapo choma nyama zaid ya hapo ni vumbi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hapa Tzn mji upi ambao una lami kwenye mitaa yote?Morombo lami inaishia wanapo choma nyama zaid ya hapo ni vumbi
Hao walioonyesha kuwa kuna kansa inaongoza ndio waliosema mji unakua kwa kasi.Weka facts za kuongoza kila mwaka hapa.
Pili sio kila mtu ni mchanga,mimi sio mchaga ila napenda Arusha kuliko Mji wowote hapa Tzn.
Kuja huko lake zone ni kwa ajili ya kuvunja si unajua mnazaa Sana kwa hiyo nyie ni soko zuri tukija ni kuchungulia fursa.
Hata mimi napenda Sana Arusha,watu wajanja, mazingira safi na watoto wakali na ni karibu na Nairobi,Dom na Dar .Hapo ni sawa, natamani kuishi Arusha.
Wapi walipoonyesha? Mbona mimi naleta facts wewe unaleta personal feelings? 😄😄Hao walionyesha kuwa kuna kansa inaongoza ndio waliosema mji unakua kwa kasi.
unataka fact ipi?
Basi utakuwa msandawe
safi mkuu hata mimi nilipita ngarenaro sikuaminiHujasema ukweli,hakuna barabara hata moja Makao Mapya,Kaloleni au Ngarenaro ambayo haina lami nilipita tarehe 01/12/2021 nikashangaa kulivyopendeza na baada ya wamachinga kuondolewa mabarabarani Arusha imependeza sana lazima ninunue kiwanja kule Safari City
Kutoka mjini kati kwenda morombo km ngapi?Kwani hapa Tzn mji upi ambao una lami kwenye mitaa yote?
Kwani Mwanza kuna lami gani za mitaani za kusafiri zaidi ya hizo dkk ukiacha barabara kuu ya Shy, Airport na Musoma?Kutoka mjini kati kwenda morombo km ngapi?
safari ya dakika 20 tu kutoka mjini kati ushaacha lami
Unaelewa hata maana ya fact?Wapi walipoonyesha? Mbona mimi naleta facts wewe unaleta personal feelings? 😄😄
Huna hoja ,Kaa hapa utulizwe kwanzaUnaelewa hata maana ya fact?
Au unadhani ku-screshot ndio fact.
Ndio maana unasema Arusha inastahili kuwa ya kwanzaKwani Mwanza kuna lami gani za mitaani za kusafiri zaidi ya hizo dkk ukiacha barabara kuu ya Shy, Airport na Musoma?
Sitaki maneno taja hizo barabara blaa blaa za nini.Ndio maana unasema Arusha inastahili kuwa ya kwanza
Hiyo ndio hoja?
Nimekuchoka ,huna ushahidi wala facts za kusapoti ajumenti zako unazojitungia.Hiyo ndio hoja?
unachofanya ni ku-expose kiwango cha ujinga wako hilo ni tatizo lako si lang.
Kama hujui criteria zinazotumika kupanga majiji utaelewa wapi wewe msandaweSitaki maneno taja hizo barabara blaa blaa za nini.
Ni argument sio ajumenti wewe msandaweNimekuchoka ,huna ushahidi wala facts za kusapoti ajumenti zako unazojitungia.
hata mimi nlimuona hana hoja nikaachana nae🤣🤣Nimekuchoka ,huna ushahidi wala facts za kusapoti ajumenti zako unazojitungia.
Nimeandika kwa kiswahili we mburula..Ni argument sio ajumenti
Nimeandika kwa kiswahili we mburula..
Arusha piga nyundo kijiji cha Mwanza 👇
View attachment 2039154
Umekuwa rufufu unajitafasiria mwenyewe?Nimekuchoka ,huna ushahidi wala facts za kusapoti ajumenti zako unazojitungia.
Dodoma ilishaipita Arusha siku nyingi.
Arusha baby 👇Umekuwa rufufu unajitafasiria mwenyewe?
Ushahidi na facts ni nini tofauti yake wewe kilaza