Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Jamii forum kuna sehemu unaweza kutambua kabila la mtu chief????
Mbona comment yako imejaa sana chuki na ukabila????
Hujui kuwa Arusha kuna wasukuma, wahaya na wanyamwezi kibao tu
Lazima ujue kutofautisha kati ya kabila na mji na kama hujui Arusha wakazi wa asili ni wameru na wamasai na wala sio wachagga boss....punguza makasiriko mkuu hii nchi ni ya kwetu sote♥️💜

Ungesubiri anijibu mwenyewe chief,,,,,tambua pia sina chuki, narudia tena cna chuki na mtu.
 
Usisahau na mabilionea wapo wengi chuga😃

Hujatembea mwanza, geita na Shinyanga wewe. Kuna matajiri wa dhahabu, diamonds na viwanda vya maji, juise soda n.k. na ndiyo madini yenye pesa kubwa kuliko tanzanite yenu.
 
Hujatembea mwanza, geita na Shinyanga wewe. Kuna matajiri wa dhahabu, diamonds na viwanda vya maji, juise soda n.k. na ndiyo madini yenye pesa kubwa kuliko tanzanite yenu.
Utajiri huupati kwa kutembea chief unaangalia vitu wanavyomiliki...ndio utaje mamilionea wangapi mwanza na shinyanga wanaomiliki angalau jengo la ghorofa 10 wako wangapi huko??????? Na hapo umeongelea madini tu umesahau kabisa utalii
 
Utajiri huupati kwa kutembea chief unaangalia vitu wanavyomiliki...ndio utaje mamilionea wangapi mwanza na shinyanga wanaomiliki angalau jengo la ghorofa 10 wako wangapi huko??????? Na hapo umeongelea madini tu umesahau kabisa utalii

Mlichotuzidi chief ni utalii tu,,utalii una hela. mengine ya kawaida sana.,,lakini hata cc pia tuna serengeti national park na ni kubwa kuliko zote Afrika,, hivyo kwa wingi wa watalii huenda mkatuzidi.
 
Mods huu uzi haustahili kuwa kwenye Jukwaa la Siasa. Pengine Jukwaa la habari na hoja mchanganyiko ingekuwa pahala pake.
Kwani ukikaa hapa unakuharibia nini mkuu
 
Acheni kutafuta sifa. Jengeni barabara. Barabara za mitaa Arusha yote ni mbovu, za vumbi na matope hazipitiki wakati wa mvua. Kuna maeneo watu wameamua kutengeneza wenyewe barabara sababu ya ubinafsi wa viongozi wa jiji. Haieleweki ofisini hao wanaojiita maofisa wanafanya nini
Ulifika Arusha lini mzee wangu?

Kwasasa chocho zote za Arusha ni lami.
Makao mapya kote lami. Katikati kote lami labda ukute mtaa wenye mita chache sana haunablami.
Rudi uje kujionea mwenyewe mkuu
 
Mimi nimefika Arusha ila sioni maajabu. Zaidi ya serikali kulazimisha kuufanya mji wa utalii na makao makuu ya EAC hakuna kingine kipya.

Soon inapitwa hata na Dodoma.

Nielekezeni basi niende wapi ila nijue kweli Arusha ni hatari.
Utakuwa uko nyuma sana mkuu.
Dodoma kamwe hapawezi kuwa mahali bora kuishi kushinda Arusha na Kilimanjaro.

Ubora wa mahali sio majengo pekee...tunaangalia hali yabhewa, mandhari yake yaani utunzaji wa mazingira na ustaarabu wa watu.

Labda Dodoma iwe mbele kwa omba omba mtaani hapo sawa.
 
Utakuwa uko nyuma sana mkuu.
Dodoma kamwe hapawezi kuwa mahali bora kuishi kushinda Arusha na Kilimanjaro.

Ubora wa mahali sio majengo pekee...tunaangalia hali yabhewa, mandhari yake yaani utunzaji wa mazingira na ustaarabu wa watu.

Labda Dodoma iwe mbele kwa omba omba mtaani hapo sawa.
Ona ulivyokuwa kilaza eti Kilimanjaro na Arusha toa ukabila wapo sugua meno kwanza hayo
 
Back
Top Bottom