Masinki
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 709
- 478
Kwa sababu ulikuwa mbishi sanaKwanini nilizaliwa mtanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ulikuwa mbishi sanaKwanini nilizaliwa mtanzania?
Kama unaona hapa si sehemu sahihi kwani kaileta humu?.Wewe unatetea usifadi kwa manufaa ya nani?.Hawa wanaohoji ndiyo walipa kodi na wanataka kujua jinsi kodi yao ilivyotumika.Unataka ujibiwe hoja wewe nani? Kama unaona umeonewa nenda kashitaki kuliko kubweka bweka humu kwenye mitandao. Upewe hoja wewe nani? kwanini?
Mkuu naona sasa moyo wako umetulia baada ya mfadhili wenu kujibu hiliKwani wewe ni Mtanzania? Mbona tunakujua kabisa kuwa wewe ni Mkenya?
Kwani Lukindo aliyekwambia katika umiliki wa Lugumi mtoto wa kiume hayupo ni nani?Nikikumbuka vizuri alitajwa mapema ndio kwanza sakata limetolewa uwanjani.Hofu yetu hapa ni kupuuzwa na kumalizika kimya kimya kwani hili sakata linawahusisha wakubwa wengi waliopo serikalini na wastaafu.Wote hao bado wana ushawishi mkuwa serikalini na hata kwa dpp na hawatakubali kijana wao aumbuke na.siri nyingi zifichuke. Asante kwa like.Kwa mbali barua hii inafanana na ile ya kukanusha umiliki wa UDA baada ya magazeti kuihusisha na mtoto mmoja wa kiume!
Ukiondoa hii tender ya billion 37, kazi ambazo hii kampuni imeshapewa ni nyingi na za thamani kubwa na malipo yao yanatoka huko huko serikalini. Hivyo ku-clear doubt wangeitisha japo press conference na kuruhusu maswali hata 100 ili kila mwenye mashaka aridhike. Lakini kuja na karatasi zisizo na tarehe wala cheo, Wallah wameongeza maswali hata yaliyokuwa hayajadhaniawa! ...lakini jamani, mbona watz wengi wanajua hii kitu!!!!
Mkuu unaweza kutuambia haya masalia yenu ya mafisadi Magu anaweza kumaliza? Naona kila upande yowe na wote wahusika ni CCM na vibaraka vyakeKwani wewe ni Mtanzania? Mbona tunakujua kabisa kuwa wewe ni Mkenya?
Ili mimi binafsi nipuuze taarifa zinazosambazwa naomba kujua kama pesa hizo kweli mmelipwa kiasi gani na mnadai kiasi gani na tayari mmfunga machine ngapi na bado ngapi na mnategemea kumaliza lini na mkataba uliwataka kumaliza lini baaaasi.. Then nitapuuza
This is an insult.....
Hakuna maelezo kuhusu kinacholalamikiwa na wengi, machine 14?!
Badala yake wameona petty issue ya director wao kukimbia nchi!!!
This is an insult.....
Hakuna maelezo kuhusu kinacholalamikiwa na wengi, machine 14?!
Badala yake wameona petty issue ya director wao kukimbia nchi!!!
Kila mmoja ana uhuru wake wa kuongea.
Wameshafunga mashine au bado, kama bado je wameshachukua pesa (wameshalipwa) kama wamelipwa kabla ya kufanya kazi hapo ndipo mgogoro na mwenye fedha unapoanzia, kwa maana wakala wa mwenye fedha "polisi" amekula njama na Lugumi kuchota mapesa yetu kinyume na taratibu za manunuzi.
Kutuelekeza kakipengele ka jinsi ya kushughulikia mgogoro ikiwa utajitokeza ni ishara ya kuwepo mgogoro kiukwelikweli.
Huyo mkurugenzi wa Lugumi kutembea na ma body guards kumzidi Donald Trump inatengeneza picha kuwa anatumia kutoka kwenye matumizi asiyostahili (Limbukeni)
Hakika! Tena bila kujali mantiki!kama unavyoutumia wako.Kila mmoja ana uhuru wake wa kuongea.