Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Annael ningekuwa sikufahamu ningetishika kwelikweli,maana kwa jinsi unavyotete Lugumi utadhani wewe ndiye lugumi mwenyewe!! Halafu unaponiacha hoi ni hapo unapomwaga mkwara na kuita wengine MASIKINI!!!wakati hako kachina kenyewe ulimtapeli mshkaji!! Hahahahaa!! Na Anakutafuta ujue! Sasa Hivi unajificha kama LUGUMI!!hohohohooo
Unataka ujibiwe hoja wewe nani? Kama unaona umeonewa nenda kashitaki kuliko kubweka bweka humu kwenye mitandao. Upewe hoja wewe nani? kwanini?