Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Tena serikalin inaweza pita hata miezi mitatu ushamaliza kazi na hela hujalipwaHivi mtu/kampuni akipata tenda,hua ana lipwa kiasi chote Cha fedha kabla haja tekeleza yaliyo katika mkataba?
Namba ya lugumi ya nn bebi? Kwan mm sitoshi au Lamomy kashakudanganyaNanua number ya Lugumi kwa laki 5 5,Kalaga Baho Nongwa Lamomy nyie watoto wa mjini hebu ingieni chimbo fastaa niipate,nikiipata muone vile nawabadilishia route safari ya Zenj tunacancel nawapeleka Maldives kula mishkaki ya papa na cocktail ya madafu....shime vijana wangu tusipoteze muda
Hutaki kuonekana wa huku maporini nabado una akaunti Jf.Mimi wacha nifie huku ughaibuni
Mambo ya kurudi na ka X5 sijui ka LC hapana , nitachekwa
Ni kujifanya kama sijazaliwa huko na wala sikujui
Hakuna hela halali hapo mzee.Muhimu ni kama kapata hela kihalali. Hajaibia MTU wala hajaiibia Serikali. Hata watanzania wengine watapata kujifunza kupitia njia alizopitia yeye kupata huo utajiri. Vijana kwa wazee kwa watoto watahamasika kumuiga ili nao watajirike kwa kufuata njia alizotumia
Bakhresa na yeye ana show off pia. Ingia kwenye Instagram ya mjukuu wa Bakhresa ndo utajua bongo bahati mbayaKwani lazima aonyeshe?? Wako akina Bakhressa na wanaye wanapesa mpaka wanaikopesha Serikali lakini hawana ushamba huu
Kama anamiliki G-Wagon na Bentley among his 'toys' ina maana senti zipo kwa sababu ukiachilia kuyanunua hata running costs kwa mganga njaa lazima mashine za hivyo aziuze.View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Huyo chizi achana nae! Kawekeza kuanzia kwao Magu Mwanza mpaka Upanga eti anamwona Lugumi mjinga!Yeye kawekeza ndio kapata hela ya kununua hayo magari. Unataka aendelee kuwekeza?
Subiri kufa tu hela zako kupotea maana nyie ndiyo mnamiliki hela za manyoka halafu mnaishi kifalaTafuta hela masikini wewe
Wewe hata feni huna ila gari inakula kiyoyozi
Kwann Angela Kiziga 😆Mzee Lugumi umetishaa..umetuchangamsha haswa...ngoja Mama Angela Kiziga nae aje atoe video yake...
Wenye kuuweza wanasema usipotajirika sasa,umeutaka umaskini mwenyewe.Mwenye kuelewa maana ya kauli hizi atusaidie kuelewa tafadhali.Lugumi hakuwa maskini bali alitikiswa na Jiwe. Hivyo, baada ya jiwe kufariki amerudi hewani, na anatuma ujumbe kwamba, yeye ni mtoto wa mjini hamumuwezi!
Ila twendeni na ukweli, kwa sasa ni kama vile ufisadi umerudi kwa kasi
Binafsi naamini hakuna umasikini Tanzania bali kuna ujinga uliovuka mipaka, kwa asilimia kubwa sana ya Watanzania.Binafsi naona Umasikini unatusumbua Watanzania, unatufanya tuwe na roho mbaya sana
Eeh sasa Arms sindio zinamtajirisha mmarekani haachi kupiganisha watu.Jamaa ni supplier wa vifaa vya polisi na jeshi muda mrefu .
Procurement contracts za silaha na vifaa vya kijeshi zina pesa ndefu , watu labda wana chuki naye tu binafsi .
Ndio maana wanakwambia ukitoa madawa ya kulevya na human trafficking ,Hamna biashara profitable kama arms deals
Ulimbukeni akifanya Mtanzania ila akifanya Rickross ni unyamwezi tu au sio?Kama anamiliki G-Wagon na Bentley among his 'toys' ina maana senti zipo kwa sababu ukiachilia kuyanunua hata running costs kwa mganga njaa lazima mashine za hivyo aziuze.
Ila hundred percent ulimbukeni anao kwa sana tu, kitendo cha kuirekodi hiyo showoff scenario na kuirusha ni ulimbukeni.