Sioni tatizo, pesa ni zake, muache atambe anavyojisikia.
Tafuta hela masikini weweKati ya pesa na umasikini kipi chanzo cha matatizo?
Tafuta hela masikini weweToka kafa mtu hapo
SawaWasamehe bro
FM ACADEMIA - ACHA TAMAA.Taja mwenye wimbo
Tafuta hela masikini weweUzuri jf kila mtu tajili
Tajiri ulipotea hapa jukwaani. Wasamehe hawa maskini wa JF tajiri. πππNimeona video ya masikini wakidiscuss magari ya tajiri mwenzangu said lugumi baada ya Mimi kumtembelea mara wanamuita limbukeni Sasa masikini wa humu Kwa njaa zao zinavyowapiga wanaona hasira zao wamalizie kumtukana tajiri mwenzangu Sasa napenda kuwaambia nyie mafukara tafuteni hela acheni ujinga yaani unakuta dume Zima linadiscuss Mali za mwanaume mwenzie tutawalia sana wake zenu
Masikini ni mbwaaTajiri ulipotea hapa jukwaani. Wasamehe hawa maskini wa JF tajiri. πππ
Hahahaha waambie tajiri. Mi chawa wako nipo. Mtoto mdogo, pesa nyingi.Tafuta hela masikini wewe
Sawa sawaHuna baya tajirii
Wasamehe tajiri. Maskini min -me alikuwa anakusema sana humu.Masikini ni mbwaa
Atakuambia utafute hela we subiri hapo hapo.fake ID