Life is to shortAnatumiwa kutakatisha pesa haramu za kodi za a Watanzania kwa kupewa tenda feki Serikalini. Lugumi ana mtandao mrefu sana Serikalini. Alidhibitiwa vilivyo enzi za Magu, lakini naona baada ya kifo cha Magu its business as usual. . Hk0o intsa ana smile kila posting na kuja na ridiculous inspirational statements huku akiweka picha akiwa kwenye exclusive, ultra luxurious environments
So does that mean we all should work hard to steal and get rich by any illegal means necessary?Life is to short
Kama dili zake za wizi mbona hawamkamati?So does that mean we all should work hard to steal and get rich by any illegal means necessary?
Wee English is not reachable?Kama dili zake za wizi mbona hawamkamati?
You have personal conflict with said?He has cheated his way to "success", that's why he's always smiling while soaking himself in his uber luxurious lifestyle.
Aloo wale jamaa wanachofanya ni kufuru.watu wanavunja magorofa pale kariakoo tangu jamaa afe.
What do you meanWee English is not reachable?
Never met him even once in lifeYou have personal conflict with said?
He is untouchable for a good reason. Go back and read again what I wrote earlier.What do you mean
Inatosha wewe ukitafuta hizo hela. Lakini hatuwezi kumshangilia huyu mwizi wa kodi zetu akitambaTafuta hela mkuu upunguze wivu. Acha kupangilia watu namna ya kuishi kila mtu ataishi muda aliopangiwa.
Inawezekana sana na ndivyo inavyofanyika kwa nchi za giza, ila kunakuwa na mgao tena mkubwa wa walio kwenye mamlaka.Hivi mtu/kampuni akipata tenda,hua ana lipwa kiasi chote Cha fedha kabla haja tekeleza yaliyo katika mkataba?
Kwani wewe unazo hela? Ungekuwa nazo usingekubali kupewa na mwanume mwenzio!! AibuTafuta Hela fukara wewe njaa inakusumbua
Hata wewe mwenyewe maskini pamoja na hela zako za majini!!Tafuta hela masikini wewe
So that you means all the government systems he know about lugumiHe is untouchable for a good reason. Go back and read again what I wrote earlier.
Mimba uliyodungwa na Magufuli itakutesa sanaMagufuli alikuwa mbaguzi katika ku deal na aliowaita mafisadi wala usilete topic yake hapa. Huyu Lugumi kwa vile ni msukuma mwenzie kama alivyotaka tumtambue mwenyewe hakuwahi kumtupa gerezani kama akina Mwaimu au Kitilya au Rugemalira. Alikuwa anamsema tu. Double standards tupu
You said it.So that you means all the government systems he know about lugumi
Ingekuwa vyema Mkuu kama ungetuelimisha kuhusu vyanzo vyake halali vya pesa. Tuanzie hapo.Ifike wakati tuache wivu kwa watu waliotuzidi vipato