Hatari sana..View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Hakuna mtu ambae sio mwizi shida tunazidiana tuInatosha wewe ukitafuta hizo hela. Lakini hatuwezi kumshangilia huyu mwizi wa kodi zetu akitamba
Tafuta hela masikini weweHata wewe mwenyewe maskini pamoja na hela zako za majini!!
Wewe umeikopesha serikali jizungumzie wewe binafsiKwani lazima aonyeshe?? Wako akina Bakhressa na wanaye wanapesa mpaka wanaikopesha Serikali lakini hawana ushamba huu
Maana yake ni kuwa kashfa mliyomzushia imeisha na vyake ni halali hivi sasa.View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Lugumi hakuwa maskini bali alitikiswa na Jiwe. Hivyo, baada ya jiwe kufariki amerudi hewani, na anatuma ujumbe kwamba, yeye ni mtoto wa mjini hamumuwezi!View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Hivi ww ile mimba ya chadema bado unatumia ndimu kuzuia kichefuchefu?Mimba uliyodungwa na Magufuli itakutesa sana
Kariakooo magorofa yote yaliyosimama ujenzi enzi za jiwe yanaendelezwa na mapya ya kumwagawatu wanavunja magorofa pale kariakoo tangu jamaa afe.
Jamani sasa Ambani ni kumlinganishia hapa kweli 🙌Siyo kweli hakuna watu wanapenda show off kama wahindi.
Angalia harusi ya mtoto wa mukesh ambani ili ndo tabia ya wahindi. Angali jengo lake analoishi ni heaven on slum
ilisemwa wana udugu na Aliyekuwa IGP Mwema na ndiye aliyempa hilo shavu...Jinai haiozi. Lugumi ana scandal, alipata tenda ya kusupply fingerprint machine vituo vote vya polisi. Machine 18 tu ndo wakainstall na 8 hazifanyi kazi. CAG, Bunge na Takukuru wakachunguza, ila ishu ikaishia hewani. Bilioni 37 ndo ikawa imepigwa kirahisi tu hivyo.
So that you means all the government systems he know about lugumi
Mbona garages za Bakhresa zisharuka sana mitandaoni?Kwani lazima aonyeshe?? Wako akina Bakhressa na wanaye wanapesa mpaka wanaikopesha Serikali lakini hawana ushamba huu