DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kweli mkuu nchi sasa imefunguliwaKila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Kama ulibahatika kuishi maisha kati ya 2006-2014 basi aina ile ya maisha ndio iliyopo sasa. Top layer wanafyonza mirija kiroho mbaya, ukiweza kuwa chawa njia ya kutoka ni nyepesi.
Kumbe yupo kama Yahya Sinwar, ni mfungwa anayetembea. Ila inasikitisha sana. Huwa najiuliza inakuwaje mtu unakosa uzalendo kiasi hicho??? Unaiibia nchi yako????Jinai haiozi. Lugumi ana scandal, alipata tenda ya kusupply fingerprint machine vituo vote vya polisi. Machine 18 tu ndo wakainstall na 8 hazifanyi kazi. CAG, Bunge na Takukuru wakachunguza, ila ishu ikaishia hewani. Bilioni 37 ndo ikawa imepigwa kirahisi tu hivyo.
Extrovert unacheka cheka tu vipi umelewa nn mkuu!Halafu ukitoka hapo unaenda kuanzisha mada Magufuli alikuwa liuaji, halipendi matajiri and your other nonsense.
Si ndio mambo mnayoyataka haya ya mama anajenga nchi, mtu anautajiri hana kiwanda wala shamba la heka kumi. Utajiri wote ni kufanya biashara na serikali tenders.
Sasa unalalamika nini akionyesha mali zake.
Don’t hate the players, hate the game.
Si unataka nchi ifinguliwe wewe, yaani 90% ya watu wanaomtukana Magufuli ni mapoyoyo ambayo hayaelewi hata alikuwa anapinga.
Huyo Lugumi ni msukuma mshamba tu, mawaziri wa Samia wakisema na wao flaunt ni balaa.
Vipi na ww unafyoonza ma million sio? 😁Mkuu niko kamili gado kabisa.
Natafuta mrija ila sijaupata bado, lazma niwachape na Lexus GX550 Platinum kama hii.Vipi na ww unafyoonza ma million sio? 😁
Utapigwa majungu hadi uzimie na mali ni yakoTatizo la sisi ngozi nyeusi hatupendi kuona mafanikio ya wengine, tumejawa na husda na roho mbaya kiasi cha kuombenana mabaya, Tunashangaa vitu kama hivi kwa sababu ya umasikini, hakuna kingine.
Niliipata hiyo, nilikuwa napita huko mitaa yako nikaambiwa kinondoni nyumba zinanunuliwa mno sasa hivi.Kinondoni kuna mtu yuko kwenye mfumo mpaka sasa ashawavua watu 8 nyumba watu kwenye mfumo sahv iko na pesa sana
Ova
Lugumi Kwa Sasa ana Hela..pale kwenye show room yake Kuna Gali kibao hazikuwemo..kama defender, Ranger....Na kawakeza Dubai,Canada..yupo vizuri sanaSipati wadogo zangu wa afu 2000 wakiambiwa watoe mpk kota wapo tayari...kisa waringishie mjini...maisha hayaa
Sidhani kama ipo hivyo maana kwa matajiri wengine hakuna mijadala kama hii maana source ya utajiri wao inaonekana, mfano bakhresa ,mo, mengi .Ifike wakati tuache wivu kwa watu waliotuzidi vipato
Natafuta mrija ila sijaupata bado, lazma niwachape na Lexus GX550 Platinum kama hii.
View attachment 3136154
Unaweza pia kuringishia ya kwako mkuu no offence.View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Naelewa ila hii ni battle ya latest machines.🤣 Na mkikaa vibaya nawaweka humu. Ni lazma tuheshimiane tu.
Acha kunifananisha na vitu vya kipumbavu mkuu.Kumbe yupo kama Yahya Sinwar, ni mfungwa anayetembea. Ila inasikitisha sana. Huwa najiuliza inakuwaje mtu unakosa uzalendo kiasi hicho??? Unaiibia nchi yako????
Yeye kawekeza ndio kapata hela ya kununua hayo magari. Unataka aendelee kuwekeza?Sisi ngozi nyeusi shids sana ukipata senti kidogo utataka mpaka sisimizi waju! Wenzetu wahindi wao wakipata wanawekeza kwenye vitu vya maana sisi unakimbilia vitu vya anasa ambavyo havizalishi ! maskini Lugumii !
Of coz kwa regime hii jamaa ni untouchable achilia mbali ile regime ambayo alitamani kuhama nchi kwa visanga na kesi miamia.View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
lol watu wawili tofautiExtrovert unacheka cheka tu vipi umelewa nn mkuu!
Ndo nn?lol watu wawili tofauti