issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,138
kuwa na Imaanfuraha ya kwel inaletwa na ;:
Vp Wakuu
Leo tupeane mbinu ambazo tunatumia pindi tunapo kua na mawazo mengi ya MAISHA/MAPENZI
mimi binafsi ninapokua na stres huwa sijites
Naingia YOUTUBE kisha nasach tom&jerry,,hapo ntacheka mpaka Mb ziishe
Haya nanyinyi toeni mbinu zenu, tubadilishane I DEA
Huwa nafunga kichwa na tumbo. Kisha nazima taa na kutumia makenikia.
Kuangalia makatuni ni upuuzi tu....mtu mzima na akili timamu unaangalia katuni? Mi nashusha whiskey ama wine kisha nakwenda vitani kwa 10 X 8.
haitattokea mimi niangalie katuni aic maana naonaga km sipo sawa kbss..ni km mzee wa miaka 80 aanze kurap lol
Hujui utamu wa animation ww. Acha sisi watazamaji utamu wake ni zaidi ya whiskeyKuangalia makatuni ni upuuzi tu....mtu mzima na akili timamu unaangalia katuni? Mi nashusha whiskey ama wine kisha nakwenda vitani kwa 10 X 8.
demu wangu ndo suluhisho la stress zangu kama haypo siku hyo basi wadogo zang pia ni suluhishoVp Wakuu
Leo tupeane mbinu ambazo tunatumia pindi tunapo kua na mawazo mengi ya MAISHA/MAPENZI
mimi binafsi ninapokua na stres huwa sijites
Naingia YOUTUBE kisha nasach tom&jerry,,hapo ntacheka mpaka Mb ziishe
Haya nanyinyi toeni mbinu zenu, tubadilishane I DEA
sema Avatar yako tu me huwa stress zote kwishaMkuu pitia hapa kwenye huu uzi upate kujifunza pia
Njia za kuondoa msongo wa mawazo na uchovu