Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Kwani we una hisi mi binaadamu?? Mi chui


Poa sana, ni vizuri umesema ukweli. Njoo basi nyumbani kuna mbuzi wanakusubiri...ila ukija uje peke yako usije na kadamnasi la washikaji wako nitawaua wote kukubakiza wewe tu.
 
Wewe nakufananisha na wale wanaowashangaa mashabiki Wa mpira Wa miguu eti wanaolipwa wachezaji kuumia waumie washabiki..

Mimi napenda sana Katuni, kuna Katuni za kids na za wote,sio kila Katuni ni za vitoto


Inabidi uombewe tu......mtu mzima kuwa shabiki wa makatuni mwishowe utakuja kubaka kuku, shauri yako....jichunge.
 
Imethibika Kitimoto ndo dawa ya Stress 100% ikizingatiwa Kuna punguzo la Bei 50% OFF mwezi huu.
 
Katika ulimwengu wa leo tunakabiliwa na stress za aina nyingi na zasababishwa na mapenzi na hali za kimaisha
Ila njia zifuatazo zinaweza kukusaidia mwanaJf. kwa namna moja au nyingine;
1.Pitia picha zako zako za zamani kidogo, Picha za tukio moja wapo lililokufurahisha au za mtu mwingine yeyote wa karibu yako
2.Fungua madirisha na kuruhusu mwanga na hewa kupita kwa kiasi kikubwa. Epuka kukaa sehemu yeny mwanga mdogo kwani hufanya hali yako ya uchovu au stress kuwa juu zaidi.
3. Imba huku unaoga! Sio lazima uw muimbaji mahiri bali chagua tu wimb wako unaoupenda, imba kwa namna yeyote huku ukiendelea kuoga
4. Epuka kubaki mpweke. Tafuta mtu yeyote uongee nae (hata mtoto mdo itakusaidia kupunguza mawazo au uchovu
5. Sikiliza muziki au mpigie simu rafi yako mliyepotezana muda mrefu.
6. Fanya Mazoezi (japo kwa dakika moja)
7.Badilisha Mazingira, Mfano kama unapita njia hiyohiyo moja kutoka kazini/shule, badilisha na upite nyingine.
8. Fanya utafiti wa kijinga kwa kuwaangalia wapita njia na kutoa kasoro zao kimavazi, muonekano w bila ya wao kujua.
9. Nenda Saluni kunyoa/kuosha/kusuka nywele zako.
10. Chukua kalamu na karatasi, anza kujifunza kuchora!
Kati ya hizi zaweza kukusaidia mwanaJf mwenzangu
Muwe na siku.njema


Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
 
Katika ulimwengu wa leo tunakabiliwa na stress za aina nyingi na zasababishwa na mapenzi na hali za kimaisha
Ila njia zifuatazo zinaweza kukusaidia mwanaJf. kwa namna moja au nyingine;
1.Pitia picha zako zako za zamani kidogo, Picha za tukio moja wapo lililokufurahisha au za mtu mwingine yeyote wa karibu yako
2.Fungua madirisha na kuruhusu mwanga na hewa kupita kwa kiasi kikubwa. Epuka kukaa sehemu yeny mwanga mdogo kwani hufanya hali yako ya uchovu au stress kuwa juu zaidi.
3. Imba huku unaoga! Sio lazima uw muimbaji mahiri bali chagua tu wimb wako unaoupenda, imba kwa namna yeyote huku ukiendelea kuoga
4. Epuka kubaki mpweke. Tafuta mtu yeyote uongee nae (hata mtoto mdo itakusaidia kupunguza mawazo au uchovu
5. Sikiliza muziki au mpigie simu rafi yako mliyepotezana muda mrefu.
6. Fanya Mazoezi (japo kwa dakika moja)
7.Badilisha Mazingira, Mfano kama unapita njia hiyohiyo moja kutoka kazini/shule, badilisha na upite nyingine.
8. Fanya utafiti wa kijinga kwa kuwaangalia wapita njia na kutoa kasoro zao kimavazi, muonekano w bila ya wao kujua.
9. Nenda Saluni kunyoa/kuosha/kusuka nywele zako.
10. Chukua kalamu na karatasi, anza kujifunza kuchora!
Kati ya hizi zaweza kukusaidia mwanaJf mwenzangu
Muwe na siku.njema


Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
We jamaaa kwa kucopy na kupaste hujambo..hii thread niliileta huku unairudia tena???

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
We jamaaa kwa kucopy na kupaste hujambo..hii thread niliileta huku unairudia tena???

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Ohhooo......[emoji12] [emoji12]
Kaa mbali na hilo punga...[emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom