Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Hyo ngono unafanyaje wakati wataalamu wanasema ili tendo hili niwe na matokeo mazuri inatakiwa mtu asiwe na msongo wa mawazo!!! Acha ngono utajiongezea stress
Tumetofautiana...yani nikiwa na hasira msongo wa mawazo...nikifanya ngono kidogo naweza kupunguza hayo yote...na huwa naperfom vizuri kuliko nikiwa mzima bila mawazo wala hasira
 
Miziki ya kihindi siku iyo itatawala yan bombey bombey tu
 
I seek solace at the graveyard, it's morbid but it works for me!
Try this at your own peril, kuna vibaka baadhi ya graveyards.
Japo kweli inatisha ila umenifanya niwaze, hebu nkuulize ufkapo maeneo hayo je ni vitu gan huwa unaviwaza zaidi na kufunika mawazo uliyonayo?
 
Back
Top Bottom