Actually kuna maeneo mengi sana tunatakiwa kubinafsisha!! Hata uzoaji taka umetushinda bro?? !!Eti mapato yakiongezeka serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa watanzania, bladifakeni.
Sokoine ni kind ya wale wale wajinga waliokuwa wakikenua meno watu kushindia vilaka in the name of uhujumu uchumi..Ungekuwepi enzi za Sokoine na akina Dube usingeuliza hili swali Bwashee 😂
Hakuna mtu alikuwa na kikosi cha Waganga kama Kolimba wa Ludewa
Sema tu kazi ya Mungu haina makosa!
Alikupiga risasi wapi??? Kwenye ukoo wako amewapiga risasi wangapi???? Usibebeshwe chuki na wewe ukazibeba bila kujua unabeba kitu gani.Hapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
CCM ni Chana kikubwa Bwashee ndio sababu Nyie Wasafwa hamuwezi kuwa na Mbunge hadi mjitambue kwanzaSokoine ni kind ya wale wale wajinga waliokuwa wakikenua meno watu kushindia vilaka in the name of uhujumu uchumi..
Watu dizaini ya hao ningeshiriki kuwatokomeza na sijui mabeberu walimuachaje na yule aliyeleta ujamaa Tanzania maana amezalisha majinga mengi kama wewe..
System inayotegemea hisia na propaganda ni mfumo wa kipumbavu
Ungekuwa na ndugu aliyepigwa risasi kama Tundu Lissu au Akweline usingeandika utumbo huo hapo juu.Alikupiga risasi wapi??? Kwenye ukoo wako amewapiga risasi wangapi???? Usibebeshwe chuki na wewe ukazibeba bila kujua unabeba kitu gani.
Hao wahuni waliopigwa risasi walikuwa mamluki wa nchi na walistahili kupata walichopata.
Oran Njeza wa Mbeya Vijijini ni kabila gani? No research no rights to speakCCM ni Chana kikubwa Bwashee ndio sababu Nyie Wasafwa hamuwezi kuwa na Mbunge hadi mjitambue kwanza
Wenzenu Wakinga Wana Majimbo mawili Makete na Makambako sasa wanainyemelea Ilala Jijini DSM 🤣🤣!
Sema alipoudhi ni kukataa ushoga na kufukuza wenye vyeti feki kazini. Hapo aliharibu sana ndo maana tunamchukia sana hasa sisi wa vyeti fake.Hapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Boss mbona wewe hakukuuwaHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Weka nakala ya huo mkataba hapa sio blah blah tu,HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA .
✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?
✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.
✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.
Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?
Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.
DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.
▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%
▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.
▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.
▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.
▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.
Lingekufa kabisa shoga lile hakuna chochote anachoisadia hii inchi na wanaume wanao mtetea kiongozi wa mashoga wawekwe ndani kabla hamjaleta balaaJamaa alitoa go ahead ya kumchapa risasi Tundu Lissu mchana kweupe.
Hapana aisee, Ishu ya Bandari ya Dar ni tofauti na ya Bagamoyo.
Kwa bandari ya Bagamoyo chuma alichemsha, ile bandari tunaihitaji!
Hujui tu kuwa naye alikuwa anamnanii MakondaSema alipoudhi ni kukataa ushoga na kufukuza wenye vyeti feki kazini. Hapo aliharibu sana ndo maana tunamchukia sana hasa sisi wa vyeti fake.
Nchi yako inaweza nini sasa mkuuHuyo mtu wenu alibobea Kwa uongo Ili avute attention ya wajinga kama nyie..
Mbona hamutoneshi namnanchi yako alivyoongeza mapato via Bandari?
Nadhani ni kichaa tuu na mwenye mentality za kijinga ndio anaweza Pinga kubinafsisha Bandari ambayo yeye binafsi imemshinda Toka uhuru.
Kila alichofanya aliangalia kwanza kama utukufu wake binafsi utajengeka kiasi gani. Alitekeleza rasilmali ya gesi kwenda kuanzisha mradi tata wa umeme wa maji uliombatana na kukata miti milioni 5 kutoka kwenye eneo lenye umuhimu mkubwa kimazingira! Aliona kwa kuendeleza rasilmali ya gesi utukufu utakwenda kwa mtu mwingine.Mnyonge mnyongeni haki yake apewe.
View attachment 2648522
"Pamoja na ubinadamu wako nabii jiwe upumzike Kwa amani."
Kuna mtu alipotezwa kutoka uso wa dunia kwa kuuilizia na kuanika cheti feki cha uzamifu!Ingia darasani Cheti Feki kitaendelea kukutesa sana!
Huyo mamluki hatakama angekuwa ndugu yangu nisingelalamikaUngekuwa na ndugu aliyepigwa risasi kama Tundu Lissu au Akweline usingeandika utumbo huo hapo juu.
Wewe ulipigwa wapiHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Umekula ukashiba au bwna wako amekuacha vizuriHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Hua mnaishia kusema hivyo lakini hamjawahi kutoa ushahidi wa tuhuma zenuHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Nyie kwny dawati lako wewe ni kupambana ma vyama vya mpinzani, wakt ishu siriaz kama hizi unapita na 100km/hrMtanikumbuka!