Sakata la Bandari: Hayati Magufuli apewe maua yake

Hapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Hua mnaishia kusema hivyo lakini hamjawahi kuleta ushahidi wa tuhuma zenu
 
Jamaa alitoa go ahead ya kumchapa risasi Tundu Lissu mchana kweupe.

Hapana aisee, Ishu ya Bandari ya Dar ni tofauti na ya Bagamoyo.

Kwa bandari ya Bagamoyo chuma alichemsha, ile bandari tunaihitaji!
Hao unaowatetea wanaishi kwa mabeberu ww kl kukicha unakimbizana na foleni mjini lkn yule aliopo/alietumwa na beberu unamuona ndio mtukufu. ..tutauzwa mpk sisi wenyewe take my note
 
Natamani nikupe neno baya ila tu moyo wangu umejaa mema...Una ujasiri wa kutenda uovu tena hadharani, ni bahati mbaya sana mimi kuzaliwa nchi moja na mtu kama wewe, aise Mungu akusamehe!
 
Acha ulaghai, haifai...
 
Alikupiga risasi wapi??? Kwenye ukoo wako amewapiga risasi wangapi???? Usibebeshwe chuki na wewe ukazibeba bila kujua unabeba kitu gani.

Hao wahuni waliopigwa risasi walikuwa mamluki wa nchi na walistahili kupata walichopata.
Jiwe hata nikifa halafu nikafufuka nitamchukia na kumtukana
 
Kabinafsishe hizo taka huko I don't care, lakini sio bandari.
 
Natamani nikupe neno baya ila tu moyo wangu umejaa mema...Una ujasiri wa kutenda uovu tena hadharani, ni bahati mbaya sana mimi kuzaliwa nchi moja na mtu kama wewe, aise Mungu akusamehe!
Hata Mimi natamani sio tuu nikupe neno baya Bali nikutokomeze kabisa
 
Nawaona hapo wanapiga makofi na bado mpaka leo wapo serikalini na bandari ndo hiyo tunazungushwaa mara imeuzwa mara laa
Hoja yako ni tatizo sugu la kuwapa majukumu wasiokuwa na kuamini wanachosimamia.

Ni marafiki wa Mungu na Shetani katika wakati mmoja.

Ndiyo maana tuna wanaojinasibu kuwa wapigania haki wenye tafsiri tofauti tofauti kutegemea na walipo.

Bure kabisa.
 
Sema alipoudhi ni kukataa ushoga na kufukuza wenye vyeti feki kazini. Hapo aliharibu sana ndo maana tunamchukia sana hasa sisi wa vyeti fake.
Haya ni mawazo yako tu. Ndiyo hukuwaona "wasiojulikana"? Hukuona mauaji, uporaji, utekaji na kupiga watu risasi??
 
Haya ni mawazo yako tu. Ndiyo hukuwaona "wasiojulikana"? Hukuona mauaji, uporaji, utekaji na kupiga watu risasi??
Unaweza kueleza haya mambo yameiadhiri nchi kiasi gani? Na watu wangapi wameuawa na nani muhusika wa watu wasiojulikana na wewe uliwahi kutekwa na nani aliporwa fedha zake maana vyeti feki mnatumia haya mambo kama kichaka chenu cha kumchukia Magufuli
 
Alikubaka mpaka ukamwekea kisasi hicho?
Ameua
Unaweza kueleza haya mambo yameiadhiri nchi kiasi gani? Na watu wangapi wameuawa na nani muhusika wa watu wasiojulikana na wewe uliwahi kutekwa na nani aliporwa fedha zake maana vyeti feki mnatumia haya mambo kama kichaka chenu cha kumchukia Magufuli
Jiwe ni jini mbwa asiyesafishika. Hqngaika uwezavyo hatosafishika. Ndiyo maana ni mwaka wa pili tu lkn kishasahaulikw na kumbukizi yake ilipuuzwa na serikali.

Hakuna kulienzi shetwani hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…