Sakata la Bandari na DP World: Serikali yashtakiwa Mahakamani

Kwa namna hii rasilimali za Tanzania zitaanza kuheshimika.

Angalau tumeanza kuuona mwanga tuongeze elimu kwa wananchi ili tuwe na umoja kwenye masuala nyeti juu taifa letu
 
Hv yule jamaa alifunguaga kesi dhidi ya mitandao ya smu,,, iliishia wapi?
 
Hao mawakili waliofungua kesi wasijekuwa ni maofisa kipenyo ili kuharibu
 
Hv yule jamaa alifunguaga kesi dhidi ya mitandao ya smu,,, iliishia wapi?
Yule aliingia mitini

Sijui aliminyiwa, kila akiulizwa atoe mrejesho jiiii

Ova
 
Wakili Msomi Alphonce Lusako akishirikiana na Wakili msomi Chengula Emmanuel pamoja na wenzao wawili
Kwenye jambo muhimu kama hili, ninapendekeza mawakili wote wanne wanaohusika katika jambo hilo majina yao yatajwe na yapewe uzito stahiki.
Hawa ni mashujaa wa nchi, iwe wamefanikiwa au hawakufanikiwa katika juhudi zao za kuipigania Tanzania.
 
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…