Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #21
Mkuu, angalia usije pata kesi ya uhainiUhalisia wa kura mara zote wanaujua ndio maana wanaendelea kupora chaguzi, na wala hawajali matokeo ya kweli. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yatawatisha na ndio yatarejesha heshima ya box la kura.
Siku hizi uhaini una dhamana.Mkuu, angalia usije pata kesi ya uhaini
Kabisa yani kama Ngorongoro na yenyewe ni moto ambao ukiamshwa Tu hautazima kama WA DP worldIshu ya ngorongoro na bandari wapinzani wakitembea nayo vizur ccm chali.
Walikuwa wanapima upepo baadae wakaufyata.Siku hizi uhaini una dhamana.
Hivi we jamaa ni mwananchi unayeishi Tanzania?Sakata la Bandari na kashifa nyingine zinaziendelea kuibuliwa kama hii ya kuwapa Waarabu hifadhi za misitu yetu na nyinginezo kama ya Ngorongo, zinakwenda kuimalliza vibaya CCM pamoja na mgombea wao wa uraisi ambae bila shaka atakuwa ni Mama Samia kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2025.
Kashifa hizi, mithili ya dhoruba kali, zimekuja kuzamisha mtumbwi ambao teyari ulikuwa umetoboka na sasa unajaa maji(unazama).
Mama alikuwa teyari hakubaliki sana, na badala ya kufanya mambo ambayo yangemsaidia kukubalika, amefanya kinyume chake kupata hizi kashifa zinazoendelea kuibuliwa na wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na watu wa makundi mengine katika jamiii mfano viongozi wa dini.
Ukiacha hayo, wafuasi wa Mwendazake ndani ya chama chake nao ni tatizo kwake, hivyo baadhi ya kura za wana-CCM Mama atakwenda kugawan na wapinzani jambo litalokwenda kumuweka katika hali mbaya zaidi.
Sio Samia tu kama mgombea uraisi atakaeathirika(naamini atagombea) bali hata wagombea ubunge wa CCM nao wataathirika kwa kuridhia ule mkataba wa bandari.
Kama ambayo kashifa za wizi na ufisadi wakati wa Kikwete zilivyoigharimu CCM kwenye chaguzi za 2010 na 2015, ndivyo ambavyo kashifa hizi zinazoendelea zitakwenda kuigharimu vibaya zaidi CCM katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025.
Hali ikiendelea hivi, itakuwa ni vigumu sana kwa Mama Samia kupata asilimia 30 ya kura zote na CCM kupata wabunge zaidi ya 100 kote bara na visiwani.
Najua hatuna tume huru ya uchaguzi na wala CCM hawatakubali tuwe na tume huru, lakini huo ndio utakuwa uhalisia katika uchaguzi ujao(makaratasi yatawapa uhalisia hata kama watatangaza tofauti).
Walioko hatarini zaidi ni wagombe ubunge ambao sometimes huwa ni vigumu kupindua matokeo labda Mama afanya kama alivyofanya Mwendake kuwa ni lazima watangazwe washindi ingawa hii inahitaji roho ngumu na elements za ukatili mambo ambayo Mama yanaweza kumshinda.
Time will tell.
Tatizo tume na Polisi plus wavaa miwani mieusiIshu ya ngorongoro na bandari wapinzani wakitembea nayo vizur ccm chali.
Mnapenda sana kujipa matumaini hewa.Sakata la Bandari na kashifa nyingine zinaziendelea kuibuliwa kama hii ya kuwapa Waarabu hifadhi za misitu yetu na nyinginezo kama ya Ngorongo, zinakwenda kuimalliza vibaya CCM pamoja na mgombea wao wa uraisi ambae bila shaka atakuwa ni Mama Samia kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2025.
Kashifa hizi, mithili ya dhoruba kali, zimekuja kuzamisha mtumbwi ambao teyari ulikuwa umetoboka na sasa unajaa maji(unazama).
Mama alikuwa teyari hakubaliki sana, na badala ya kufanya mambo ambayo yangemsaidia kukubalika, amefanya kinyume chake kupata hizi kashifa zinazoendelea kuibuliwa na wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na watu wa makundi mengine katika jamiii mfano viongozi wa dini.
Ukiacha hayo, wafuasi wa Mwendazake ndani ya chama chake nao ni tatizo kwake, hivyo baadhi ya kura za wana-CCM Mama atakwenda kugawan na wapinzani jambo litalokwenda kumuweka katika hali mbaya zaidi.
Sio Samia tu kama mgombea uraisi atakaeathirika(naamini atagombea) bali hata wagombea ubunge wa CCM nao wataathirika kwa kuridhia ule mkataba wa bandari.
Kama ambayo kashifa za wizi na ufisadi wakati wa Kikwete zilivyoigharimu CCM kwenye chaguzi za 2010 na 2015, ndivyo ambavyo kashifa hizi zinazoendelea zitakwenda kuigharimu vibaya zaidi CCM katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025.
Hali ikiendelea hivi, itakuwa ni vigumu sana kwa Mama Samia kupata asilimia 30 ya kura zote na CCM kupata wabunge zaidi ya 100 kote bara na visiwani.
Najua hatuna tume huru ya uchaguzi na wala CCM hawatakubali tuwe na tume huru, lakini huo ndio utakuwa uhalisia katika uchaguzi ujao(makaratasi yatawapa uhalisia hata kama watatangaza tofauti).
Walioko hatarini zaidi ni wagombe ubunge ambao sometimes huwa ni vigumu kupindua matokeo labda Mama afanya kama alivyofanya Mwendake kuwa ni lazima watangazwe washindi ingawa hii inahitaji roho ngumu na elements za ukatili mambo ambayo Mama yanaweza kumshinda.
Time will tell.
Makaratasi huwa yanawapa ukweli na hii ndio hoja yangu hapa. Soma vizuri hili bandiko langu.Hivi we jamaa ni mwananchi unayeishi Tanzania?
Uliwahi mara ya mwisho kuona ccm inashinda kwa Sanduku la Kura?
Au unajifanya ya 2020 hukuyaona?
[emoji38][emoji38][emoji38]Siku hizi uhaini una dhamana.
Kweli kwenye msafara wa Mamba, hata kenge wamo.Kwani uchaguzi unafanyika oktoba 2023?
No situation is permanent.Labda siyo wapiga kura wa Tanzania
Kwa uzoefu wako sikutegemea kama ungelikuja na simulizi kama hizi.Kweli kwenye msafara wa Mamba, hata kenge wamo.
Siyo kweli. Nimeenda mazingirà ya vijijini kabisa, tena kwa watu baadhi qenye uelewa mdogo sana, wanalijua suala la bandari. Tena wanasema kabisa kuwa huyu mama amedanganywa mpaka ameuza bandari na mbuga za wanyama.Hilo swala la bandari sioni hata watu wakilizungumzia mtaani kelele naona zipo JF tu.
Huo ni mtazamo wako, 2025, ameshapita tunasubiri kumuapisha tu, earl date of november 2025.Sakata la Bandari na kashifa nyingine zinaziendelea kuibuliwa kama hii ya kuwapa Waarabu hifadhi za misitu yetu na nyinginezo kama ya Ngorongo, zinakwenda kuimalliza vibaya CCM pamoja na mgombea wao wa uraisi ambae bila shaka atakuwa ni Mama Samia kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2025...
Makaratasi huwa yanawapa ukweli na hii ndio hoja yangu hapa. Soma vizuri hili bandiko langu.
Kwa wabunge sawa ila kwa Rais halitegemei wingi au udogo wa kura!! Ni mteuliwa wa Rais yaan mkurugenz wa tume ndie atatangaza mshind ni mgombea wa urais wa CCM hawez enda kinyume!! Thats why katiba mpya tume huru ndio msingi bora!Sakata la Bandari na kashifa nyingine zinaziendelea kuibuliwa kama hii ya kuwapa Waarabu hifadhi za misitu yetu na nyinginezo kama ya Ngorongo, zinakwenda kuimalliza vibaya CCM pamoja na mgombea wao wa uraisi ambae bila shaka atakuwa ni Mama Samia kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2025...
Chadema mtagaragazwa vibaya sana CCM huwa haitanii kwenye uchaguzi. Msije kusema sijawaambia.