std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,293
- 3,928
CCM itashinda tena kwa kishindo
CCM ni dhaifu lakini wapinzani ni dhaifu zaidi
Wananunulika, wanaongeka, hawana msimamo,
Mpinzani wa kweli wa mafisadi na mtetezi wa kweli wa rasilimali za nchi ni Mwaabukusi
Yeye ndiye mwenye uwezo wa kupunguza kura za CCM na si hawa walamba asali.
CCM ni dhaifu lakini wapinzani ni dhaifu zaidi
Wananunulika, wanaongeka, hawana msimamo,
Mpinzani wa kweli wa mafisadi na mtetezi wa kweli wa rasilimali za nchi ni Mwaabukusi
Yeye ndiye mwenye uwezo wa kupunguza kura za CCM na si hawa walamba asali.