Sakata la Bandari: Spika Tulia atoa ufafanuzi

ukienda haja kabla hujatawadha chungulia kwenye chasis utaoona [emoji23]
Mkuu nchi ipo hata baada ya JPM....

Nchi itakuwepo hata baada ya mh.Rais SSH....

Una "delusion" na "obsessive compulsive disorder"?!!!
 
Ukilewa kakojoe na kalale...usitutishe hapa....huna ujualo na huna ufanyalo....andamana basi bwege gondongwa wewe
 
Vijana mna matatizo vichwani yaani nikatafute mimi wakati wajuzi wa haya mambo mpoo.

SI MTUJUZE KIZALENDO SASA KIUWAZI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiingereza chenyewe hajui huyo......hana huo mkataba ,hajausoma na hawezi kuusoma....
 
Anamtisha Nani?

Hi nchi Hadi tunyooshane viungo na damu imwagike ndiyo hawa watu akili itawakaa sawa. Vinginevyo watazidi kutuona watz ni madungunduka tusiojielewa.
Hamia Rwanda mpuuzi ww
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiingereza chenyewe hajui huyo......hana huo mkataba ,hajausoma na hawezi kuusoma....
Mkataba upo Pdf alafu KATIKA WANA JF yeye ndio anao??

Mana ungekuwa wazii JF NI YA UWAZI🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Sana tena.
. Wewe ukimuamini usimuamini ndiye Spika wa bunge kwa sasa na ametowa ufafanuzi.

Mwenye wivu ajinyonge.
Je unayo habari kuwa kuna tangazo lililotolewa na bunge lakini baada ya mijadala ambayo Dr Tulia anaiita potofu ilibidi tangazo lile lifutwe?
 
Jambo moja ninaloshukuru. Huu mkataba umeleta mjadala wa kitaifa. Sasa wtz wanajitahidi kuelewa mambo na kuhoji.
 

Bunge ni Rubber Stamp ,wabunge washahongwa V8 kina msukuma unafikiri watasema nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…