Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

Iuzwe tu sisi tunataka hela tu na mama nae tunamuamini ni MLEZI wetu mwema
Kelele za Nini
86b36c39d37e1859000b20e829898552.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu kusonga frontline nakuanzisha kile ulichokisema,hatuna watu wa caliber hiyo hapa,tunao wahamasishaji na washangiliaji yaani mashabiki,wachezaji hawapo,Kuna comment nilizosoma mahali fulani zikitokea Kenya jamaa walisema "watanzania ni waoga",jamaa walikuwa sahihi kwa asilimia fulani,Mimi binafsi nasema watanzania hatuna asili ya kupenda vurugu na machafuko tuna mind business ya kutafuta Hela ya kula,pango,na ada za watoto.
 
Kuna watu wanadhani ikizuka vita au machafuko basi watapewa wao nafasi ya kuongoza.

Kama ikitokea mkachukua uongozi kumbuka dhambi ileile mliyokuwa mbawafanyia waliopo sasa itawageukia.

Kumbuka pia madeni yote mtatakiwa kuyalipa na sisi wananchi tutahitaji ustawi zaidi ya uliokuwepo maana tutakuwa bado na kichinjio vinginevyo mtadumu msimu mmoja.

Muhimu mtutunze ili tusiwe vilema au maiti kwani hatutaweza kuwapigia kura.
 
Kuna watu wanadhani ikizuka vita au machafuko basi watapewa wao nafasi ya kuongoza.

Kama ikitokea mkachukua uongozi kumbuka dhambi ileile mliyokuwa mbawafanyia waliopo sasa itawageukia.

Kumbuka pia madeni yote mtatakiwa kuyalipa na sisi wananchi tutahitaji ustawi zaidi ya uliokuwepo maana tutakuwa bado na kichinjio vinginevyo mtadumu msimu mmoja.

Muhimu mtutunze ili tusiwe vilema au maiti kwani hatutaweza kuwapigia kura.
Muhimu mtutunze ili tusiwe vilema au maiti kwani hatutaweza kuwapigia kura.
20230709_144952.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili wataka mabadiliko wamefanya kosa moja kubwa sana. Wamewagawa wataka mabadiliko wenzao.

Nasubiri siku ya maandamano ni lini ya slaa, maandamano ya chadema, halafu kuna wanamabadiliko wa naounga mkono mwarabu.

Hata akichukua bure hakuna mbaya. Kama wapinga mkataba wa bandari hawaoni mbaya kwa migodi ya madini. Maadam yuko mzungu
 
Kwa hili wataka mabadiliko wamefanya kosa moja kubwa sana. Wamewagawa wataka mabadiliko wenzao.

Nasubiri siku ya maandamano ni lini ya slaa, maandamano ya chadema, halafu kuna wanamabadiliko wa naounga mkono mwarabu.

Hata akichukua bure hakuna mbaya. Kama wapinga mkataba wa bandari hawaoni mbaya kwa migodi ya madini. Maadam yuko mzungu
Mbona sasa ni kama unachanganya mada hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine walishasema watoto wao ni raia wa USA sasa tudanganyike kufuata upuuzi wao.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
selikali ishasema itayafanyia kazi maoni ya watu. ila wanatokea watu wanaendelea kueneza chuki. mimi nasema watangulizwe tu. bora wachache wafe ili wengi wabaki salama ukizingatia wengine wanaochochea vurugu familia zao wana uraia wa marekani.
Mmeanza kujitokeza mdogo mdogo
 
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app
Waombeeni wale waliouza nchi na wenye mioyo migumu isiyotaka kubadilika kwa urahisi kuendana na wakati au mazingira ili wasikie maoni, ushauri na vilio vya wenzao wanaolilia haki zao.
 
Back
Top Bottom