Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,371
Werema alitaka kujidhalilisha kwa kuvunja rekodi ya SUGU.
Na Fred Werema anatibuliwa na nini?Yule ni bangi zinamtibua.
hivi ni yule --------...
yule bilion 200 kaambulia pesa ndogo inamuuma mtu kumkumbushia machungu ya ela ndogo aliyopata kwenye mgao
Na Fred Werema anatibuliwa na nini?
But i thought you don't care about him, do you?kati ya watu wachache nisiowaheshimu kiasi cha kushangaa na kusikitika kuwa wapo kati ya watanzania mil 45 ni huyu werema. ni mjinga -------- kiasi kwamba kuwa sehemu ya jamii yetu anatuambukiza upumbavu...huwa nashukuru mungu hajatokea kuwa mzazi wangu naamini ningeishamkataa live. hafai na ni kichefuchefu hili zee jinga.
Werema alitaka kujidhalilisha kwa kuvunja rekodi ya SUGU.
hahaha,hahaha,roho inamuuma.
Kafulila alimwambia WEREMA MWIZI baada ya yeye kuambiwa TUMBILI. Azuiliwa na mawaziri asitimize shambulio hilo jana bungeni.
Source magazeti ya leo: Mwananchi, Nipashe, Tanzania Daima, Mtanzania...
Mweshimiwa Spika... Pamoja na ufafanuzi wa K.i.s.e.n.g.e wa Mh. Kafu.. Naomba kumpiga mbunge kama ifuatavyo. kwanza naanza kwa kukumbushia Enzi... Hishii hu waa. Kibadachi.....