Shekizongoro
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 388
- 153
Kuna kila sababu ya kumpima akili Werema katika hospitali ya Mirembe ili ikigundulika ni mgonjwa wa akili atibiwe aweze kuendelea na kazi yake iliyotukuka kwa kufuata maadili yanayokubalika! Na ikigundulika ana akili timamu afukuzwe kazi mara moja kulinda heshima ya ofisi ya AG!
Ni mzima; ashalewa madaraka. Maslow hierarchy of need ashaimalza amekiza kutukana tu; kama si malezi mabovu